Serengeti fiesta 2014 special thread

Serengeti fiesta 2014 special thread

Hivi huyu mtangazaji katoka kwenye kigodoro au? Ni aibu sanaaaa ni zaudi ya kituko kweli fani imevamiwa hadi mwenyewe anaona aibu kweli hata kama kashtukizwa hata yy kuenda huko hakujiandaa?View attachment 194561

Kuvaa avae yeye aibu uone wewe lol (just kidding)

na sauti yake ilivyo ngumu sasa...... hapo ndio kavunja kabati ujue
 
Alikiba kwenye stage huwa hana jipya kabisa!
 
Jamani ninavyoupenda ule wimbo wa girl "0" yule jamaa hajautendea haki kabisaaaa
 
Back
Top Bottom