Diva Beyonce
JF-Expert Member
- Mar 6, 2014
- 12,913
- 11,292
Kweli na shati lake kama mapazia ya memorial pale Moshi
Ha ha ha
Kweli na shati lake kama mapazia ya memorial pale Moshi
Na list ya perfomers bado.kubwaaa
Hahah hata mi nakuona aiseee, mahadhi yako si ya kupitwa!
Domo saiv anawaza namna gan awakalishe Davido na TI mwenyewe, we unamletea Habari za Mwana Dar es salaam??
Mashine ya kuokea mikate....
Hiyo Fiesta ndio kitu gani?
nasubiri nithibitishe kwa macho yangu Davido anaperfom licha ya zuio la mahakama
Ha ha ha ha haaNgoja awaimbie mediocre na nyimbo zingine mbili asepe maana hapo anawaza ebola tu akili haimpi kabisa
Naona Shaa anataka aitwe Mrs MJ
Hahahaaaaaa,silali mpaka na mimi nimuone huyo Ali Kina bob...
"Nlikuwepo":bolt:
Davido akiperfom italeta tafsiri mbaya sana na itaonekana kuna wako juu ya sheria!
Yaan amkalishe TI makubwa hii kalii aisee