Serengeti fiesta 2014 special thread

Serengeti fiesta 2014 special thread

Nafikiri muhuni TI anapanda saa tisa akiwa keshalewa pombe zake anaimba nyimbo tatu anachukua hela yake ya supu anasepa
 
Huku ni kuwaibia watz mchana kweupe mimi nashuudia upuuzi tu hapa sioni la maana
 
Domo saiv anawaza namna gan awakalishe Davido na TI mwenyewe, we unamletea Habari za Mwana Dar es salaam??
 
Wasanii watanzania bado kabisa! Sikutegemea pamoja na kuona band pembeni Barnaba atagandamizia!
Show mkitaka kufurahi subiri wapande!
FA and At
Weusi
Stamina
Fid q
 
Back
Top Bottom