Serengeti fiesta 2014 special thread

Serengeti fiesta 2014 special thread

Hivi huyu mtangazaji katoka kwenye kigodoro au? Ni aibu sanaaaa ni zaudi ya kituko kweli fani imevamiwa hadi mwenyewe anaona aibu kweli hata kama kashtukizwa hata yy kuenda huko hakujiandaa? 1413660123573.jpg
 

Attachments

  • 1413660157493.jpg
    1413660157493.jpg
    60.4 KB · Views: 514
  • 1413660184973.jpg
    1413660184973.jpg
    58.7 KB · Views: 513
Hahaaa huyo Davido walivyojishaua hata kuja mara hata perform kisa wamemzuia na mahakama wapiii huyoo mjengoni Clouds kweli wababe sijapata ona

Haaaa maana ile asubuhi ilikua mshike mshike nikaona na yule Dida wa times kalishikia bango Davido hatopanda jukwaani .... T.I wamemsema anakuja huku mara kuna Ebola au atumie mechanism kama ya Akon ye ndio walaaa
 
Mwanafa alimkalisha rozeii,nani atamkalisha ti leo?
Mtujuze wengine tupo magetoni
 
Haaaa maana ile asubuhi ilikua mshike mshike nikaona na yule Dida wa times kalishikia bango Davido hatopanda jukwaani .... T.I wamemsema anakuja huku mara kuna Ebola au atumie mechanism kama ya Akon ye ndio walaaa

Hahaaa
 
Hahahaaaaa,hivi umewahi kuona show ya T.I.D???utachoka...alafu yeye anajisifu eti ni nilipiga sarakasi nyingi sana...

Hahahaha yule mla unga mpaka mziki ushamshinda sikuhizi... Mi napendaga sana ile interview yake ya mkasi alivyokua anamchomolea yule jamaa kumjibu maswali yake
 
Haaaa maana ile asubuhi ilikua mshike mshike nikaona na yule Dida wa times kalishikia bango Davido hatopanda jukwaani .... T.I wamemsema anakuja huku mara kuna Ebola au atumie mechanism kama ya Akon ye ndio walaaa

ngoma ya watoto huwa haikeshi,,nataka nimuone matumbo amwage damu mana alisema kama davido atapanda damu itamwagika
 
Last edited by a moderator:
Hahahaha yule mla unga mpaka mziki ushamshinda sikuhizi... Mi napendaga sana ile interview yake ya mkasi alivyokua anamchomolea yule jamaa kumjibu maswali yake

Hahahaaaaa,alikua hataki John wala muba wamuulize ni yeye na salama tu,ilikua hatariiii
 
Back
Top Bottom