Serengeti fiesta 2014 special thread

Serengeti fiesta 2014 special thread

Ally kiba ndo aende kulia maana ataishia kushangiliwa na wahuni Fiesta..mwenzake baada ya hapa ana tour za kutosha

Ndio maana hana waswasiiiii
Hao waliopanda wadada ni kina naniii
 
Well come back Kiba game ya kwako sasa hivi domo atabaki kwenye vitabu kama mr nice

Kiba kamwe hatakaa aje arudi .....tayari alishafika kwenye climax na hawezi kurudi tena labda msanii mwengine atakuja kuchukua nafasi ya Diamond
 
Naona victoria kimani na waje wanajipendekeza kuwa dancers wa Davido, wanafkiri watapata collabo hahaha
 
Lakini tuwe wakweli,hawa klauz maccm kuna kamchezo wamemchezea hapa diamond,i smell something..diamont atakuwa kawagomea kutumika kama akina FA
 
Ally kiba ndo aende kulia maana ataishia kushangiliwa na wahuni Fiesta..mwenzake baada ya hapa ana tour za kutosha

Kweli. Diamond atabaki kuwa juu tu.. Fiesta ya kipuuzi sana hii, Fiesta hovyo kabisa. Ngojea nidai hela yangu niliyotoa ,
 
Pia nimeona Kiba kapigiwa advert ya kufa mtu, kuna clip wameonyesha clouds ikionyesha Kiba anavalishwa kufia ya ufalme na maandishi The returning of the King.

Clouds wamecheza mchezo mbaya sana mbele ya mgeni na wao walii fell wakiwa stejini, sauti kukatika pia ni kituko haswa tusubiri magazeti ya jumatatu au kusoma mtandaoni.

baby yake atakuwa amesikitika huko aliko.
 
Acheni wivu mtoto wa mbagala kasota kauza mitaani hadi bichi akitembea chini ya jua leo mnamwita ana dharau....

acheni wivuuuuuuuuuuuuuuuuu kafika alipo kwa yeye na sio wewe

Ungeenda kumshangilia ungekuwa umefanya la maana dada yangu.
 
Pia nimeona Kiba kapigiwa advert ya kufa mtu, kuna clip wameonyesha clouds ikionyesha Kiba anavalishwa kufia ya ufalme na maandishi The returning of the King.
kwani hujamuona bwana almasi na yeye akijicock kikomando mpaka na bastola,Iyo nafasi almasi alikuwa amekodishiwa tu na king wao ndo Iyo karudi prince lazima achuje tu
 
Back
Top Bottom