Serengeti fiesta 2014 special thread

Serengeti fiesta 2014 special thread

kwa tathimin hadi mda huu bado blue na crew yake wanashika nafasi ya kwanza kwa shangwe hawa yamoto band bado sana,wameharibu kwenye mavazi,ok namuona T.I wa bongo aka F.A ndio yupo stejini now

Ni kweli kabisa Micharazo wamekula shangwe kubwa sana, halafu hawakuwa na kuremba remba wala stori nyingi, ilikuwa ni mawe tu.
Ova
 
Mwana F.A kaonyesha nini maana ya kumiliki jukwaa,kuanzia mavazi,kuimba na mashabiki sasa blue anashuka nafasi moja,F.A kamaliza mchezo hivi T.I anamuona huyu pacha wake anachokifanya hapa uwanjani
 
Mwana F.A kaonyesha nini maana ya kumiliki jukwaa,kuanzia mavazi,kuimba na mashabiki sasa blue anashuka nafasi moja,F.A kamaliza mchezo hivi T.I anamuona huyu pacha wake anachokifanya hapa uwanjani

Lakini anawasukumizia mashabiki yaan hawez kuimba moja kwa mojaa ni kazi aiseee
 
naona watu wamechangamuka kwa huu wimbo mwana FA unaoa ...wengi unawahusu
 
for sure am dissapointed, tamasha kubwa km hili na wasanii wakubwa jamani alafu mambo km haya jamani!! ni aibu kwakweli

ila mkuu ni bora hata hvyo..yani ikipigwa live band na wasanii wetu hawa show utaichukia mbona
 
Back
Top Bottom