Serengeti fiesta 2014 special thread

Serengeti fiesta 2014 special thread

Hahahaaaaa,yamoto leo wamenichekesha jamaniiii
 
vijana wa ya motti band badala ya kuimba naona wanakata mauno tu...laana
 
Leaders imeshajaa ni mwendo wa Playback tu hutaki toka nje kalale.
 
umeona eeh,halafu hawa wazungu wanafikiri Africa ni nchi,mwe wamemkazania ebola ebola,acha awatukane na kawaambia atawablock,ila ana matusi

Nahisi keshapiga mambo yake kichwa kipo stimu hatari maana mzaramo wa marekani alivyotoa shit....Jamaaa wamemkomalia amekuja kubeba kiroba cha ebola kwenda kuwaua yani jamaaa wabaguzi mpaka basi
 
Like seriously am down.....hii.inamaanisha even diamond atapga cd huu ni wendawazimu....ruge acha ujinga bwana

hv kweli anaweza live yule!! na wanavyopenda kucheza kwa nguvu mpaka wanaishiwa pumzi ya kuimba sasa!!! hizo energy wanazo kina usher,beyonce,chriss brown, bongo bado sanaaaaa
 
Clouds wanajitahidi sana kuandaa matamasha ila ndio hivyo wasanii wetu wanazingua.
Kuandaa tamasha kubwa kama hili sio kazi ndogo, inahitaji umakini na uelewa mkubwa wa muziki.
Ila inakera kazi bora kama hii inabidi iharibiwe tu na playback kutokana na uwezo mdogo wasanii wetu.
Ova
 
Back
Top Bottom