Serengeti fiesta 2014 special thread

Serengeti fiesta 2014 special thread

Wote wameingiza watu wao kitaaa wa kuwashangilia na kumpomda mpinzan,Kida na Mbagala wote watoto wa kkoo wahuni tu wao chuki ndo deal,subirien shangwe na booo za kutosha........
 
😍😍😍😍kiba am still waiting😫😫😫😫
 
Ni upuuzi kwako. Unafikiri T.I akija bongo kupiga show labda pale maisha club unafikiri ni wangapi wataenda? Na promota atatoza kiingilio kiasi gani ili arudishe gharama na kupata faida yake?

Acheni vijana wenye vipato vidogo wapate burudani. We nenda sehemu zenye hadhi zako ndg.

Asee we mbna kama umepanic sana unahusika na uandaaji wa ilo tamasha au viroba
 
Salamander vipi leo mavazi ya ya moto band umeyaonaje???
 
Last edited by a moderator:
Mpaka sasa kura yangu ipo lwa Young Killer na Mr Blue.....
 
Izo drums pale nyuma za t.I au..?bora waje alirekod live akaipiga km.playbak bt angalau....fiesta msanii alazimishwe kupga live
Nashangaa sijui kwanini wanashindwa hata kuandaa CD yenye beat tuu!
 
TI mwenyewe yupo hotelini anafanya kazi kupost picha instagram na kutukana wazungu wanaombwambia amekuja huku kuchukua ebola na kupeleka america
umeona eeh,halafu hawa wazungu wanafikiri Africa ni nchi,mwe wamemkazania ebola ebola,acha awatukane na kawaambia atawablock,ila ana matusi
 
Wajinga playback ya nn au tatzo dj anashindwa kuacha nafas watu waimbe wao hata kuruhus mashabk kuitikia
 
for sure am dissapointed, tamasha kubwa km hili na wasanii wakubwa jamani alafu mambo km haya jamani!! ni aibu kwakweli
Like seriously am down.....hii.inamaanisha even diamond atapga cd huu ni wendawazimu....ruge acha ujinga bwana
 
Back
Top Bottom