hv kweli anaweza live yule!! na wanavyopenda kucheza kwa nguvu mpaka wanaishiwa pumzi ya kuimba sasa!!! hizo energy wanazo kina usher,beyonce,chriss brown, bongo bado sanaaaaa
sasa nin hiki mbona wanatuweka video ya FA kwanza
Wote wameingiza watu wao kitaaa wa kuwashangilia na kumpomda mpinzan,Kida na Mbagala wote watoto wa kkoo wahuni tu wao chuki ndo deal,subirien shangwe na booo za kutosha........
Leo FA kawa kawaida sana sio kama mwaka jana.
troubleman31Naomba.jina lake insta
Ataweka historia dunia nzima akikataa....sifa nyingine hizi???
Leo FA kawa kawaida sana sio kama mwaka jana.
Wabongo sisi wanafiki sana mtu anayefanya vizuri ndiyo anachukiwa , Wivu tu acheni hizo
leo mtakubali T.i hadi aombe kolabo halafu Dai anakataa
kwa tathimin hadi mda huu bado blue na crew yake wanashika nafasi ya kwanza kwa shangwe hawa yamoto band bado sana,wameharibu kwenye mavazi,ok namuona T.I wa bongo aka F.A ndio yupo stejini now
ndo naamka ila mi kwangu cloudstv sina
Ndio anaimba FA ee
TBC 1pia wanaonesha
Jaman kuna raha gan watu walivyo wengii hivyooo aiseeee