Serengeti fiesta 2014 special thread

Serengeti fiesta 2014 special thread

Fiesta ni Upuuzi kama Upuuzi mwingine.

Ni upuuzi kwako. Unafikiri T.I akija bongo kupiga show labda pale maisha club unafikiri ni wangapi wataenda? Na promota atatoza kiingilio kiasi gani ili arudishe gharama na kupata faida yake?

Acheni vijana wenye vipato vidogo wapate burudani. We nenda sehemu zenye hadhi zako ndg.
 
Si mmeambiwa Davido anakuja ?

akipafom basi subiria kuona damu ya mtu inamwagwa.

Times wanadai wana mkataba na Davido

attachment.php
 

Attachments

  • 1413508612771.jpg
    1413508612771.jpg
    70.8 KB · Views: 2,298
Ni upuuzi kwako. Unafikiri T.I akija bongo kupiga show labda pale maisha club unafikiri ni wangapi wataenda? Na promota atatoza kiingilio kiasi gani ili arudishe gharama na kupata faida yake?

Acheni vijana wenye vipato vidogo wapate burudani. We nenda sehemu zenye hadhi zako ndg.

T.I ni maiti Na anahitaji sanda , Nick mbishi ndie Mc anaempeleka six feet deep under.

Vijana gani? Kina Martine kadinda.
 
Uzi maalumu kwa kila kinachojiri kuelekea kilele cha shangwe za burudani
 
Washalegea wote kuanzia sugu mpaka kulwa na doto ambao walijifanya wana roho ya ghadaf
 
Washalegea wote kuanzia sugu mpaka kulwa na doto ambao walijifanya wana roho ya ghadaf

Hahahaha angalia wasikuwinde.

Unajua stelingi wa kweli vitani ni rahisi kumjua jinsi anavyokua anaendesha harakati zake.
Ukitaka kuwashinda maadui zako ua kiongozi wao. Unakua umemaliza mchezo kirahisi.

Ni sawa na msemo wa wahenga wa zamani kuwa ukitaka kumuua nyoka piga kichwa tu.

Hahahaha wale viumbe wako smart sana wanajua namna ya kula na vipofu. Kuna kipindi wanajifanyaga mafala kuepuka vita ya maneno na hali ikitengamaa wanaanza kukutafuna mdogomdogo kama kansa kwa kuziba baadhi ya mirija.
 
nackia kibali cha davido kimekosekana sababu alishaombewa kibali na times.... cliffort haris nacho hati hati kupatikana....
 
Tatizo la matamasha yetu mengi ya burudani ni ULINZI .....na hasa si kabla na wakati wa burudani bali pale tamasha linapoisha na watu kuanza kuondoka .........inabidi walau baada ya tamasha kuwe na askari,mabaunsa wa kutosha kuzunguka maeneo yote ya Leaders club ili kuzuia uhalifu kwa watu wanaotoka kwenye burudani.......

Mara nyingi watu wengi hasa wadada hulizwa wakati wa kutoka tena maeneo hayo hayo .....otherwise kwa wale ambao wakati ni wao ....happy Fiesta ......:msela:
 
sa hivi wasivuruge kama mwaka jana mambo ya spika kuzingua mara lights hazieleweki

wajiandae watu tunatoa hela kuburududika, sio kuzingua halafu kesho yake wanaweka fungulia mmbwa
 
sa hivi wasivuruge kama mwaka jana mambo ya spika kuzingua mara lights hazieleweki

wajiandae watu tunatoa hela kuburududika, sio kuzingua halafu kesho yake wanaweka fungulia mmbwa

mwaka jana vinega waliroga si unajua tena mambo ya masikini
 
mwaka jana vinega waliroga si unajua tena mambo ya masikini

"Na ile kwenye zinduka mlangoni waliweka mageti na kutoza kiingilio wakati issue ina bajeti na bado hawakuwapa net na ndio maana show ilibuma na bado zitaendelea kubuma"-- Sugu
 
Last edited by a moderator:
"Na ile kwenye zinduka mlangoni waliweka mageti na kutoza kiingilio wakati issue ina bajeti na bado hawakuwapa net na ndio maana show ilibuma na bado zitaendelea kubuma"-- Sugu

Vinega wa kweli wana-keep it real
 
Last edited by a moderator:
Washalegea wote kuanzia sugu mpaka kulwa na doto ambao walijifanya wana roho ya ghadaf

Vinega hawajalegea bali kuna wasanii njaa walifikiri mapambano ni lelemama,ndio hao waliosanda. Vinega wa ukweli ni kama Peenlawyer,Mgosi Mkoloni,Danny Msimamo,Adili Mkwela,Rama Dee,Soggy Doggy,D wa Getto,n.k. Pia tukumbuke kwamba hakuna harakati inayokosa wasaliti!
 
Back
Top Bottom