Twin Tower
JF-Expert Member
- Jan 13, 2023
- 4,907
- 7,123
Siku zote haki imekuwa ikitajwa kuwa inatafutwa, inapiganiwa. Huwezi kuletewa kwenye sahani.
Kitendo cha kupinga dhulma, hatimae kikaleta maridhiano. Na mechi ikaendelea.
Wameacha funzo kubwa hasa katika medani za siasa, maalum kwa Tanzania ambao tunapiga kelele za amani bila kujali haki.
Senegal wangeamua kuchagua amani, haki yao ingetoweka na kukosa nafasi ya kuwa mabingwa.
Lakini tuwapongeze Morocco na Caf, kwa upekee kabisa Ibrahim Diaz kwa kutekeleza maridhiano kwa vitendo.
Kuchagua haki na kufanya diplomasia ya kuupa mpira heshima yake.
Dhulma hata wao kama Morocco, wasingeifurahia medali ya ushindi
Haki haiombwi, ukitenda haki amani hutawala.
Kitendo cha kupinga dhulma, hatimae kikaleta maridhiano. Na mechi ikaendelea.
Wameacha funzo kubwa hasa katika medani za siasa, maalum kwa Tanzania ambao tunapiga kelele za amani bila kujali haki.
Senegal wangeamua kuchagua amani, haki yao ingetoweka na kukosa nafasi ya kuwa mabingwa.
Lakini tuwapongeze Morocco na Caf, kwa upekee kabisa Ibrahim Diaz kwa kutekeleza maridhiano kwa vitendo.
Kuchagua haki na kufanya diplomasia ya kuupa mpira heshima yake.
Dhulma hata wao kama Morocco, wasingeifurahia medali ya ushindi
Haki haiombwi, ukitenda haki amani hutawala.