Sema chochote ''Kinachosadikika''

Sema chochote ''Kinachosadikika''

Inasadikika siku ya kwanza kabisa mtu mweupe(mzungu) alipokutana na mtu mweusi(mwafrika) ,wote wawili walitoka nduki kila mmoja na uelekeo wake.


Sent from my iPad using JamiiForums
Inasadikika unamiliki iPad
 
Inasadikika" Mtume Mhamad baada ya kuzikwa mwili wake uliliwa na mbwa"
 
  • Thanks
Reactions: mwl
Inasadikika uislam na ukristo vilikuwa dini moja isipokuwa kuna mtu alitafsiri vibaya maandiko ndo akaleta utofauti
Mfano: Mama wa Yesu Waislamu wanauita Mariamu , wakristo wao wanamuita Maria.
Viongozi wa dini wakristo wanavaa kanzu, waislam ni vazi la wote.
Wakristo wanafunga kwaresma, waislamu na ramadhan.
Makatazo almost yote yaliyokuwepo kwenye hizi dini mbili yanafanana.
 
Back
Top Bottom