Sema chochote ''Kinachosadikika''

Sema chochote ''Kinachosadikika''

kuna chai inasema Dr Liki Abdala alikuwa anamla muhindi kwenye kubeti

muhindi akasema isiwe taabu,akamuajiri ofisi ya betting
 
Inasadikiwa wachangiaji wengi humu nii jobless
 
Inasadikika kila mtu ambaye amewahi kuimba Hip Hop japo kidogo basi ashawahi kupuliza japo pafu 1 tu..
 
Inasadikika kwetu kusini viongozi wengi hawataki kutuletea maendeleo sababu hatuipendi nyinyiem
 
Inasadikikika eti mimi nitakuja kuwa bilionea namba moja Bongo.
 
Back
Top Bottom