baraka muyabi
Senior Member
- Aug 13, 2012
- 162
- 58
Ndege ya kwanza ilitengenezwa na mwafrika wazungu wakaona wivu wakamchukua kwenda ulaya akawaelekeza alivyotengeneza halafu wakamuua
Inasadikika una utajiri wa ndotoniInasadikika kuwa mimi ndiye tajiri kuliko watu wote Afrika
Inasadikika kua wewe ni tajiri wa kusadikika tu!Inasadikika kuwa mimi ndiye tajiri kuliko watu wote Afrika
Inasadikika kuwa Mungu husema na watu kupitia ndotoInasadikika una utajiri wa ndotoni
Inasadikika hata shetani husema na watu kupitia ndoto piaInasadikika kuwa Mungu husema na watu kupitia ndoto
Inasadikika kua wewe hukumuelewa mtoa mada kua anataka tutumie neno "inasadikika" ila wewe ukatumia neno "inasemekana"inasemekana magufuli atajiunga chadema 2020 kama lowassa alivofanya
😱😱😱 wacha niendelee kusadiki, hii njozi ni njemaInasadikika hata shetani husema na watu kupitia ndoto pia
Inasadikika kua wewe unamsadiki sana Shetani kupitia njozi zake za kisadikika tu!😱😱😱 wacha niendelee kusadiki, hii njozi ni njema
Inasadikika kua wewe hukumuelewa mtoa mada kua anataka tutumie neno "inasadikika" ila wewe ukatumia neno "inasemekana"
so,inasadikika kua kama ni mtihani wewe utakua umeshafeli..!!
namkataa shetani na mambo yake yote na fahari zake zote, hii ni kweli sio kusadikikaInasadikika kua wewe unamsadiki sana Shetani kupitia njozi zake za kisadikika tu!
HaahahahaahahahaInasadikika hesabu ziligunduliwa afrika
Inasadikika kua wewe unapenda kusadiki vitu vya kusadikika,mimi ni mimi na mtoa mada ni mtoa mada,ni member tofauti tena wasiojuana.inasadikika kua wewe ndo huyo mtoa mada ila umejisahau tu ukatumia id hii ukanipa hiyo correction bila kutegemea