Sema chochote ''Kinachosadikika''

Sema chochote ''Kinachosadikika''

Inasadikika kuwa binadamu anayejikojolea mkojo kitandani akinywa maji ya mchele ataacha kujikojolea.
 
Inasadikika siku ya kwanza kabisa mtu mweupe(mzungu) alipokutana na mtu mweusi(mwafrika) ,wote wawili walitoka nduki kila mmoja na uelekeo wake.


Sent from my iPad using JamiiForums
 
Inasadikika kuwa marais wote walizaliwa na mzazi (baba) mwenye korodan moja
 
Inasadikika watanzania wanazid kuisoma namba na mwisho wa mwezi huu wataanza kuimba 0123456789
 
Inasadikika, wapemba hawana kile alichonancho Thiery Henry!
 
Inasadikika ile sanamu ya askari pale posta itatolewa na kupelekwa Dodoma...
Piah inasadikia sanamu ya DOMO ndio itawekwa pale..!
 
Back
Top Bottom