Sema chochote ''Kinachosadikika''

Sema chochote ''Kinachosadikika''

Inasadikika uislam na ukristo vilikuwa dini moja isipokuwa kuna mtu alitafsiri vibaya maandiko ndo akaleta utofauti
Mfano: Mama wa Yesu Waislamu wanauita Mariamu , wakristo wao wanamuita Maria.
Viongozi wa dini wakristo wanavaa kanzu, waislam ni vazi la wote.
Wakristo wanafunga kwaresma, waislamu na ramadhan.
Makatazo almost yote yaliyokuwepo kwenye hizi dini mbili yanafanana.
Inasadikika kuwepo kwa ukristo kunawakosesha usingizi waislam ndo maana wanajaribu kuwaassasinate ili waishe
 
inasadikika kwamba chadema wote wanajiita waheshimiwa hata kama ni mpishi au mlinz wa ofisi
 
Inasadikika unapenda sana "hainaga ushemeji"
Dj sisko kiduku, bakumile bafeto enda zako mjita sebenza kunjan sebenza kunjan kwala kwala, watoto wa libya watoto wa B13 dortmund,
Dah hatar sana huyu kijana anaeitwa manifongo
 
Back
Top Bottom