Sema chochote ''Kinachosadikika''

Sema chochote ''Kinachosadikika''

Hapa sema chochote kile ambacho kimekua kikisadikika hakuna Taarifa rasmi,au research wala uthibitisho kama hivi
"Inasadikika Wazungu wengi waliliwa nyama walipofika kufanya upelelezi Afrika kwa Mara ya kwanza"

"Inasadikika China ni sehemu ya kwanza kabisa kuendelea na kustarabika duniani"

"Inasadikika Waafrika na Waarabu ndizo race zenye uwezo mdogo wa kufikiri na kupambanua mambo"
Endelea
Nguva
 
Inasadikika kuwa eti Tanzania tutaandaa world cup 2058 na tutalibakisha kombe hilo hapa nyumbani kama walivofanya France mwaka 1998
 
Inasadikika mlima Kilimanjaro upo Kenya daraja la kigamboni lipo Kenya na CCM Ni Chama Cha Majipu
 
Inasadikika tabia ya kukurupuka haijaanza leo na huu ni mwanzo tu, vya kukurupuka vikubwa zaidi tutajionea
 
Inasadikika na kuaminika kuwa ili mchezaji wa Ulaya na Duniani akamilike basi ni lazima achezee klabu ya AC Milan
 
Inasadikika kuwa watu wa Mombasa wanapenda nyuma kiasi kuwa hata wakiingia church wanakaa nyuma na kwenye matatu wanataka nyuma tu, hata darasani utawakuta nyuma na kwenye matokeo class wanakuwa wa mwisho.
Inasadikika kukaa nyuma ndo kunakupa raha siku zote japokuwa unapitwa na vingi
 
inasadikika kulikuwa na bondia alikuwa na nguvu kiasi kwamba alipokuwa akipigana ilibidi afungwe mkono mmoja. Aliyetajwa nilimtafuta,nikakuta ni uongo
Inasadikika aya ya mwisho n uwongo
 
Back
Top Bottom