Sema chochote ''Kinachosadikika''

Sema chochote ''Kinachosadikika''

Inasadikika wanawake wanauwezo Wa kuendesha biashara kushinda wanaume
 
Inasadikika mtoto anaweza kuweka kisasi mpaka anakuwa mkubwa analipiza
 
Inasadikika kuwa Tanzania una rasilimali nyingi ila wananchi wake pia inasadikika wengi ni vilaza
 
Inasadikika Matamko ya Serikali yanayokinzana yako Tanzania pekee
 
Inasadikika kuwa mm ndiye ninayejua zaidi kugegeda wanawake kuliko wanaume wengine.(waliobahatika kugegedwa na mimi ni mashahidi)
 
Inasadikika CHADEMA itakufa kabla ya uchaguzi ujao
 
Inasadikiwa we ni mchele×2
Inasadikika kua mtu yeyote mwenye tabia kama hiyo (hapo kwenye red) yako hufikiria na kuamini kua hata wengine wana tabia kama yako na ndio maana hilo neno limekukaa mdomoni,ingekua sio tabia yako hiyo hilo neno wala usingelijua au kulitamka mbele za watu!
 
Back
Top Bottom