Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 73,812
- 225,599
Biashara gani?Hahahahaha na kunakufaa kweli..kuna watu wa mbeya wengi sana kule wanafanya biashara na wengine wamewekeza
Yawezekana ya kupika ugali na mimi nikawekeze
Biashara gani?Hahahahaha na kunakufaa kweli..kuna watu wa mbeya wengi sana kule wanafanya biashara na wengine wamewekeza
Ni kweli wengi wana restaurant..si unajua mapishi ya kitanzania yanapendwa ..kuna wenye bar ,pub ..watu wa mbeya wako vzr lubumbashiBiashara gani?
Yawezekana ya kupika ugali na mimi nikawekeze
Ulikua umeshakula chakula au badoTayari nini??? Marahabaaa!
Kwenye baridi ugali mtamu,alafu lile tonge la moto linaondoa baridi mikononi.Hahahahaha..Umenikumbusha drc ugali mnakula asubuhi km chai
Hahahahaha..kumbe eeh ,ni km nimeikubaliKwenye baridi ugali mtamu,alafu lile tonge la moto linaondoa baridi mikononi.
Chakwanza tayari chapili bado bado! Hapo Nilivimbiwa na aina ya kwanza ya chakula huku nikisubiria chapiliUlikua umeshakula chakula au bado
Nikisikia cha kwanza tayari bado cha pili ..nikawaza vingine kbsChakwanza tayari chapili bado bado! Hapo Nilivimbiwa na aina ya kwanza ya chakula huku nikisubiria chapili
Hahahaa!Nikisikia cha kwanza tayari bado cha pili ..nikawaza vingine kbs
Usiombee upate mgeni kutoka huko!Hahahahaha..Umenikumbusha drc ugali mnakula asubuhi km chai
Hahahahaha..eti awe kabila la Kasai ..wali chakula cha ndege , unaanza wali then ndio unakuja Bukari ( ugali ) na sombe ( kisamvu ) au kabambale ( kambale )Usiombee upate mgeni kutoka huko!
Unamtengea wali hata hotpot nzima anamaliza hlf baada ya nusu saa anakuuliza 'leo hatukuli' ukimwambia si wali tayari anajibu 'Siwezi kulala na njaa'
Watu wa kule ugali ndo wanaona chakula vyakula vingine ni kama starters
Tena sombe uchanganye na kambale utie karanga na mawese ni tamu sana plus pilipili😋Hahahahaha..eti awe kabila la Kasai ..wali chakula cha ndege , unaanza wali then ndio unakuja Bukari ( ugali ) na sombe ( kisamvu ) au kabambale ( kambale )
Hahahahaha..mwezi May nitakua lubumbashiTena sombe uchanganye na kambale utie karanga na mawese ni tamu sana plus pilipili😋
Nimetamani sana! Itabidi sikukuu nisogee maeneo waliyopo ili nipqte msosi huo
Ukikutana na Inyasi, Joaqim waambie nawasalimia!Hahahahaha..mwezi May nitakua lubumbashi
Hahahahaha..hao mbn siwajui labda wao ndio waje kunisalimia 😅😅Ukikutana na Inyasi, Joaqim waambie nawasalimia!
Wewe ukikutana na watu wenye majina hayo wasalimieHahahahaha..hao mbn siwajui labda wao ndio waje kunisalimia 😅😅
Hahahahaha..hii kali mkuuWewe ukikutana na watu wenye majina hayo wasalimie