Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Hahahahaha..Umenikumbusha drc ugali mnakula asubuhi km chai
Usiombee upate mgeni kutoka huko!
Unamtengea wali hata hotpot nzima anamaliza hlf baada ya nusu saa anakuuliza 'leo hatukuli' ukimwambia si wali tayari anajibu 'Siwezi kulala na njaa'

Watu wa kule ugali ndo wanaona chakula vyakula vingine ni kama starters
 
Usiombee upate mgeni kutoka huko!
Unamtengea wali hata hotpot nzima anamaliza hlf baada ya nusu saa anakuuliza 'leo hatukuli' ukimwambia si wali tayari anajibu 'Siwezi kulala na njaa'

Watu wa kule ugali ndo wanaona chakula vyakula vingine ni kama starters
Hahahahaha..eti awe kabila la Kasai ..wali chakula cha ndege , unaanza wali then ndio unakuja Bukari ( ugali ) na sombe ( kisamvu ) au kabambale ( kambale )
 
Hahahahaha..eti awe kabila la Kasai ..wali chakula cha ndege , unaanza wali then ndio unakuja Bukari ( ugali ) na sombe ( kisamvu ) au kabambale ( kambale )
Tena sombe uchanganye na kambale utie karanga na mawese ni tamu sana plus pilipili😋
Nimetamani sana! Itabidi sikukuu nisogee maeneo waliyopo ili nipqte msosi huo
 
Vijana jibuni DM mnapishana na magari ya mshahara...
Screenshot_20240326-224422_Instagram.jpg
 
Back
Top Bottom