Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 45,313
- 95,667
Kuna kitu nimekiona si mchezo
Kuna kitu nimekiona si mchezo
Unaonekana umenona sana
Itakuwa mapaja mazuri😁Kuna kitu nimekiona si mchezo
😂😂Unapenda vinono!Unaonekana umenona sana
Hahahahaha kuna asiyependa vinono ? Hebu selfika na wewe tuone ulivyonona😂😂Unapenda vinono!
Sijapita kabisa kule mbona, itakua ulinifananisha.Nimekuona jana kwenye mabanda ya CCM Iringa. 😀😃😄😁😆
Hahahahaha, mie sitaja kitu lknItakuwa mapaja mazuri😁
Tangu jana macho yako yanaona vitu lainilaini😄Hahahahaha, mie sitaja kitu lkn
Hahahahaha..ujue macho yangu yana matatizo hivyo vitu laini laini ndio navionaTangu jana macho yako yanaona vitu lainilaini😄
Ha haaa haaaa kuselfika tena!🏃Hahahahaha kuna asiyependa vinono ? Hebu selfika na wewe tuone ulivyonona
Hahahahaha eeh tuone vilivyononqHa haaa haaaa kuselfika tena!🏃
Mi shangazi bwana nimewaachia wadogo zangu uwanja wajiachie Kwa Raha zao😄Hahahahaha eeh tuone vilivyononq
Hahahahaha...sawa sawaMi shangazi bwana nimewaachia wadogo zangu uwanja wajiachie Kwa Raha zao😄
Nimewahi kupita kwenye hayo mabanda ya CCM mara mbili hivi kupata yale mambo yetuNimekuona jana kwenye mabanda ya CCM Iringa. 😀😃😄😁😆
Unaonekana umenona sana
Hahahahaha..hapana..mbn hata maelezo unayoyatoa tu ni ya kitaalamu [ Chef ] uko vzrPicha tu hiyo mkuu
Acha utapeli, wenzako wanatuma picha zao, wewe unatuma maua.Zaburi 24:1
Dunia na vyote viijavyo ni Mali ya Bwana...
Saint Anne Leo nimeamka nikaona haya maua yameota nje kwangu yakanivutia nikasema ngoja niitengeneze home made fresh deco,see the beuty, Dar pazuri bwana😍....
Hahahahaha..utaniita au utani tag ?Sawa..nitakuita usijali