Fortnox
JF-Expert Member
- Jul 23, 2019
- 3,133
- 11,124
Kabisa chombo haina matata hiiMnyama huyo. Hii kitu ikikaa barabarani ndo imekaa yaani hata ufanyeje...dah!
Kabisa chombo haina matata hiiMnyama huyo. Hii kitu ikikaa barabarani ndo imekaa yaani hata ufanyeje...dah!
yes GX hii chombo ya mjapanGx hio.
Safi sana mkuu..
Oh niceDone sis
Niliwahi kuwa nayo mpya kabisa zile za mwanzo mwanzo. Nilikaa nayo kwa miaka karibia 15 kitu imekula 300K+ miles na bado tu inadai. Mpaka nilichokana nayo tu nikawauzia jamaa wa mashambani huko wakaikata ikawa pick up ya kubebea mazao. Na bado ikaendelea kupiga mzigo tu. Ni moja kati ya ndinga ninazoziheshimu sanaKabisa chombo haina matata hii
Barabara ya bagamoyo,, nlipanda gari za makumbusho pale jogooHahahha ndo maana huwa najishtukia sana kwenye daladala situmii Jf .
Ilikuwa lini niambie na route ipi ?
Unanitisha weweBarabara ya bagamoyo,, nlipanda gari za makumbusho pale jogoo
This time ulikuwa unaangaliia barabara nje, ulibana nywele kwa nyumaUnanitisha wewe
Huwa napita sana njia hiyo sema nakaaga seat ya mbele kabisa karibu na dereva .
Hahaha ulinionaje .. hii ndo shida ya kutumia app
Bado I'm not convinced
Tabia yangu hiyo ya kushangaa nje kama ndo napita kwa mara ya kwanza .This time ulikuwa unaangaliia barabara nje, ulibana nywele kwa nyuma
Naogopa Mimi hua naongea nao friendly bado hajawa mkubwa ila siku akiwa mkubwa naona ntalia Mimi I swear maana anaingia12 but ana mwili mkubwa na dalili za kiutu uzima zimeanza.Ooh usiogope mwamini Mungu , wewe kama mama una nafasi kubwa sana kwao ..
Kikubwa ni kuwapa mafundisho mema , kuongea nao kwa ukaribu , mfanye awe rafiki katika hatua hizi za ukuaji .
Anza kutest mitambo ,safari ikifka haina kurembaa
No way..hivi hamjui adhaa wanazo zipata baada ya kutuchuna 😁😁😁.. tunawaharibu sanaaaa.. Mungu atusamehe.. kule hela mtazila ila uharibifu tunao waachia ni mkubwa kuliko pesa...
Maelezo ya 9.8m yanajitoshelezaSijafunga mpendwa wangu
Hawa sijui nawaweka kundi Gani 🤔Kuna michepuko pia inayohonga waume za watu. Kuna michepuko inatoa connections za maana kwa mume; utajua haujui
Chuma kwa hewaaa safi sanaa.. umpitie reymage
Ni mimi bana Ex mchumba wanguMhhh huyu ni wewe kweli?
Ndio myMaelezo ya 9.8m yanajitosheleza
Kama na wewe upo hilo kundi basi wakukamue tu hadi ubongo wa kumwaga materials pale yudii Kwa akina cocastic
My memory is a bit fuzzy nadhan it's a week or twoTabia yangu hiyo ya kushangaa nje kama ndo napita kwa mara ya kwanza .
Itakuwa muda hii sasa mbona hujaniambia siku zote ,Ilikuwa lini ?