Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 31,979
- 95,486
Akhuuu. Mimi nilisemea tu mazingira ya hotelini sio salama sana kiroho, si unajua yanayotendeka humo ni mengi. Mnaweza mkaingia chumba "kichafu", automatically kikapunguza uwepo kwa asilimia fulani. Kuomba unaomba mahali popote tu;lakini kuna zile sehemu zetu huwa tunazitenga maalumu kwa ajili ya maombi; zinakuwa sacred.
Kwani nyie kaka na dada mliwaza nini?
Kwani nyie kaka na dada mliwaza nini?
eeh yani.. naona kateleza kuwaza mama mtumishi