RRONDO
Platinum Member
- Jan 3, 2010
- 59,368
- 134,903
Duh video yangu imetrend sana, kidemu kilichochukua hii video nishakipiga chini!
Duh video yangu imetrend sana, kidemu kilichochukua hii video nishakipiga chini!
Wajinga wajinga nawapotezea🎶Sipendi kusema naogopa lawama
Walimwengu nawajua
Japo yanauma mambo ya wanadam
Bora kuwapotea
Walivoniandama japo roho yaniuma
Lakin ninatulia
Sikuzoea kusema kubishana na nawanadama
Sijutii na sitajutia 🎶
Saint Anne
Binadamu ndo wamezoeaWajinga wajinga nawapotezea
Katu hawanipigishi kelele
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Ataecheka na mieSi kama siwezi kusema
Naweza mpaka kukesha
Naziepuka lawama
Nyingine zinakondesha🔥🔥🔥👌👌👌
Mamaaa Leila🔥🔥🔥🔥
Niko live 🔥🔥View attachment 2974940
Kiboko kabisaKuna wapiga vinanda wao
Halafu Kuna mpiga kinanda wangu😂😂😂👌🔥🔥🔥🔥
Mpiga kinanda wake
Mzee Yusuf kakicharanga kinanda jamani chaaa🔥🔥🔥
Hivi huo utulivu au upweke?🙄
Pambeeeee👌🔥🔥🔥Ataecheka na mie
Nami nitacheka
Asiesema na mie
Nitakaa mbali nae
Ugomvi siwez mie
Bora nimpotezeeeeee
🔥🔥🔥
Ni sehemu gani mna angaliaKiboko kabisa
Unasikia Isha mashauz huko jmn mbona Leo nyimbo nazozipenda nitalala kweli😂😂😂
Ni balaaKiboko kabisa
Unasikia Isha mashauz huko jmn mbona Leo nyimbo nazozipenda nitalala kweli😂😂😂
Sinema zetuNi sehemu gani mna angalia
Azam Tv,sinema zetuNi sehemu gani mna angalia
Nikaambiwa
Mi nitalala hapahapaKiboko kabisa
Unasikia Isha mashauz huko jmn mbona Leo nyimbo nazozipenda nitalala kweli😂😂😂
😂😂😂Mi nitalala hapahapa
Naamka huku nashtuka naendelea😂😂😂😂😂