Selfika na JF: Snap it. Show it

Ni vizuri
Una sali dhehebu gani kwa upande wenu wakristo ?

Ni muda mzuri wa kutupia selfie hahahahh
Selfie hiyo

Mimi ni Moravian ila huwa nasali sehemu yoyote ambayo inanipa amani.
JPEG_20210518_032040_5910719027097792918.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwanakondoo ameshinda??
Unasali ushirika upi madam? Karibu ushirika wa Yerusalem,airport ya zamani
Tumfuate

Yerusalemu miaka ya nyuma tumesali sana hapo faraghani(uwata)

Nitakaribia mkuu,tuombe uzima.
Ikimpendeza Mungu J2 hii.

Kwa hapa town napendelea kusali usharika wa Nzovwe na Mbeya mjini kule sokomatola.

Pia napendelea kusali Pentecostal Churches,wenzetu wapo mbali sana kwenye maswala ya kusifu,kuabudu na maombi.

Mara mojamoja naenda Roman Catholic kulekule Mbeya mjini ile parokia(Mtakatifu Antoni wa Padua) ya Rufaa pale..
Wenzetu RC wapo systematic sana kwenye ibada zao.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Looh moravian hata silijui nimeliskia leo jina lingine labda ?
Anyway, naona unajitahidi sana kumcha mwenyezi Mungu hakika inapendeza sana hongera.
Hapo upate Mume wa namna hio sasa utamu kunoga
Hajawahi kulisikia??
Ni makanisa ya CCT ama niseme ya kiprotestant..mf Lutherani (kKKT),Moravian(KMT),AIC,Anglicana na mengine mengi yaliyopo CCT.
Kishuleshule huwa wanaita UKWATA.

Ufalme wa Mungu unatekwa na wenye nguvu,na wenye nguvu ndio watakaouteka.

Pia sehemu nyingine Neno linasema mpende Bwana Mungu wako kwa moyo wako wote,wa nguvu zako zote na kwa akili zako zote.
Sometimes inabidi kutumia nguvu kufanya mambo.

Duniani si kwetu..muda wowote tunaondoka.,
Tunapaswa kukaa tayari na kujiandaa maana muda tusioujua tunaweza kuondoka.
Mungu anatupa nafasi ya kuongea naye,kuomba Toba na kuomba yote tuyatakayo..hatuna budi kuitumia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni sikukuu siku ile
Ya kumkiri Mwokozi
Moyo umejaa tele
Kunyamaza hauwezi

Sikukuu sikukuu
Ya kuoshwa dhambi zangu kuu
Kukesha na kuomba tu
Ananiongoza
Sikukuu sikukuu
Ya kuoshwa dhambi zangu kuu.


Moyo tulia kwa Bwana
Kiini cha raha yako
Una njia mbili tena
Yesu ndiye njia yako


Sent using Jamii Forums mobile app
Moyo tulia kwa Bwana
Kiini cha raha yako
Una njia mbili tena
Yesu ndiye njia yako
 
Tumfuate

Yerusalemu miaka ya nyuma tumesali sana hapo faraghani(uwata)

Nitakaribia mkuu,tuombe uzima.
Ikimpendeza Mungu J2 hii.

Kwa hapa town napendelea kusali usharika wa Nzovwe na Mbeya mjini kule sokomatola.

Pia napendelea kusali Pentecostal Churches,wenzetu wapo mbali sana kwenye maswala ya kusifu,kuabudu na maombi.

Mara mojamoja naenda Roman Catholic kulekule Mbeya mjini ile parokia(Mtakatifu Antoni wa Padua) ya Rufaa pale..
Wenzetu RC wapo systematic sana kwenye ibada zao.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe kasema usharika wa Yerusalem morovian.. Sio yerusalem Uwata... Anyways ulikuwa unaenda faraghani zamani??😎
 
Ni sikukuu siku ile
Ya kumkiri Mwokozi
Moyo umejaa tele
Kunyamaza hauwezi

Sikukuu sikukuu
Ya kuoshwa dhambi zangu kuu
Kukesha na kuomba tu
Ananiongoza
Sikukuu sikukuu
Ya kuoshwa dhambi zangu kuu.


Moyo tulia kwa Bwana
Kiini cha raha yako
Una njia mbili tena
Yesu ndiye njia yako


Sent using Jamii Forums mobile app
Kumwimbia bwana tenzi za rohoni huku unapiga vyombo ni kumkufuru.Achana na mambo ya kupiga vyombo kwanza!😄😄😄
 
Back
Top Bottom