My Sons Legacy
JF-Expert Member
- Feb 4, 2019
- 3,489
- 11,441
Ni vizuri
Una sali dhehebu gani kwa upande wenu wakristo ?
Ni muda mzuri wa kutupia selfie hahahahh
Ni vizuri
Selfie hiyoNi vizuri
Una sali dhehebu gani kwa upande wenu wakristo ?
Ni muda mzuri wa kutupia selfie hahahahh
Looh moravian hata silijui nimeliskia leo jina lingine labda ?Selfie hiyo
Mimi ni Moravian ila huwa nasali sehemu yoyote ambayo inanipa amani.View attachment 1789044
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwanakondoo ameshinda??Selfie hiyo
Mimi ni Moravian ila huwa nasali sehemu yoyote ambayo inanipa amani.View attachment 1789045
Sent using Jamii Forums mobile app
TumfuateMwanakondoo ameshinda??
Unasali ushirika upi madam? Karibu ushirika wa Yerusalem,airport ya zamani
Hajawahi kulisikia??Looh moravian hata silijui nimeliskia leo jina lingine labda ?
Anyway, naona unajitahidi sana kumcha mwenyezi Mungu hakika inapendeza sana hongera.
Hapo upate Mume wa namna hio sasa utamu kunoga
Moyo tulia kwa BwanaNi sikukuu siku ile
Ya kumkiri Mwokozi
Moyo umejaa tele
Kunyamaza hauwezi
Sikukuu sikukuu
Ya kuoshwa dhambi zangu kuu
Kukesha na kuomba tu
Ananiongoza
Sikukuu sikukuu
Ya kuoshwa dhambi zangu kuu.
Moyo tulia kwa Bwana
Kiini cha raha yako
Una njia mbili tena
Yesu ndiye njia yako
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe kasema usharika wa Yerusalem morovian.. Sio yerusalem Uwata... Anyways ulikuwa unaenda faraghani zamani??😎Tumfuate
Yerusalemu miaka ya nyuma tumesali sana hapo faraghani(uwata)
Nitakaribia mkuu,tuombe uzima.
Ikimpendeza Mungu J2 hii.
Kwa hapa town napendelea kusali usharika wa Nzovwe na Mbeya mjini kule sokomatola.
Pia napendelea kusali Pentecostal Churches,wenzetu wapo mbali sana kwenye maswala ya kusifu,kuabudu na maombi.
Mara mojamoja naenda Roman Catholic kulekule Mbeya mjini ile parokia(Mtakatifu Antoni wa Padua) ya Rufaa pale..
Wenzetu RC wapo systematic sana kwenye ibada zao.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii mikato huwa siikubaligi mwana.natumai umeelewa🥂View attachment 1789096
Chakooo.. Chake😎
Mhola/chiza sana ng'wanike
Kumwimbia bwana tenzi za rohoni huku unapiga vyombo ni kumkufuru.Achana na mambo ya kupiga vyombo kwanza!😄😄😄Ni sikukuu siku ile
Ya kumkiri Mwokozi
Moyo umejaa tele
Kunyamaza hauwezi
Sikukuu sikukuu
Ya kuoshwa dhambi zangu kuu
Kukesha na kuomba tu
Ananiongoza
Sikukuu sikukuu
Ya kuoshwa dhambi zangu kuu.
Moyo tulia kwa Bwana
Kiini cha raha yako
Una njia mbili tena
Yesu ndiye njia yako
Sent using Jamii Forums mobile app
🥂Hii mikato huwa siikubaligi mwana.natumai umeelewa🥂