Nigawie mimi brother.hapa kuna 0.1% chance ya hili kutokea







Wee situmi hata kwa dawa😀😀Kuna jamaa siku moja alipost kwenye mtandao wakijamii (facebook)kuomba ela elfu kumi yeyote mwenye nayo, akajitokeza dada mmoja wakachat akamtumia pesa kumbe jamaa alikua ni tajir alikua anatafuta mtu mwema yule jamaa akamtafuta yule dada na kumzawadia gari na nyumba yenye thaman ya sh mil 50, na akawa msaidizi wa bishara zake . Anyways kwa kufupisha story tu, nina shida ya elfu 50 kwa yeyote mwenye nayo"
Ha ha ha ngoja vyuma vilegee na kutu ziondoke kwanza


Mambo poa tu vipi mzima weweYes T.ELY mambo!
HahahahaKuna jamaa siku moja alipost kwenye mtandao wakijamii (facebook)kuomba ela elfu kumi yeyote mwenye nayo, akajitokeza dada mmoja wakachat akamtumia pesa kumbe jamaa alikua ni tajir alikua anatafuta mtu mwema yule jamaa akamtafuta yule dada na kumzawadia gari na nyumba yenye thaman ya sh mil 50, na akawa msaidizi wa bishara zake . Anyways kwa kufupisha story tu, nina shida ya elfu 50 kwa yeyote mwenye nayo"
Angalia usije poteza zawadi ya BenzHa ha ha ngoja vyuma vilegee na kutu ziondoke kwanza![]()



Aah wewe sikuamini, unawenipa hizo 3B ila ukazirudisha kwako ulivo Dr mstaafu wa kilinge mmh😀Umepishana na Bilion 3![]()
Afu kama unanipa hizo Billion nipe tu mambo gani ya kupimana imani hivo Dr.😛Umepishana na Bilion 3![]()









































Saint AnneNaimba tenzi za Rohoni.Usiku wote huu unafanya nini ?Saint Anne
