Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
Karibu
IMG-20210517-WA0195.jpg
 
Kuna jamaa siku moja alipost kwenye mtandao wakijamii (facebook)kuomba ela elfu kumi yeyote mwenye nayo, akajitokeza dada mmoja wakachat akamtumia pesa kumbe jamaa alikua ni tajir alikua anatafuta mtu mwema yule jamaa akamtafuta yule dada na kumzawadia gari na nyumba yenye thaman ya sh mil 50, na akawa msaidizi wa bishara zake . Anyways kwa kufupisha story tu, nina shida ya elfu 50 kwa yeyote mwenye nayo"
Wee situmi hata kwa dawa😀😀
 
Kuna jamaa siku moja alipost kwenye mtandao wakijamii (facebook)kuomba ela elfu kumi yeyote mwenye nayo, akajitokeza dada mmoja wakachat akamtumia pesa kumbe jamaa alikua ni tajir alikua anatafuta mtu mwema yule jamaa akamtafuta yule dada na kumzawadia gari na nyumba yenye thaman ya sh mil 50, na akawa msaidizi wa bishara zake . Anyways kwa kufupisha story tu, nina shida ya elfu 50 kwa yeyote mwenye nayo"
Hahahaha
 
Ni sikukuu siku ile
Ya kumkiri Mwokozi
Moyo umejaa tele
Kunyamaza hauwezi

Sikukuu sikukuu
Ya kuoshwa dhambi zangu kuu
Kukesha na kuomba tu
Ananiongoza
Sikukuu sikukuu
Ya kuoshwa dhambi zangu tu.


Moyo tulia kwa Bwana
Kiini cha raha yako
Una njia mbili tena
Yesu ndiye njia yako[emoji3590][emoji176][emoji3590][emoji176][emoji3590][emoji3590]


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wamwandama Yesu kwa kusafiwa
Na kuoshwa kwa damu ya kondoo
Kiwe Safi kijito chatiririka
Umeoshwa kwa damu ya kondoo

Kuoshwa kwa damu
Itutakasayo ya kondoo
Ziwe Safi nguo nyeupe mno
Umeoshwa kwa damu ya kondoo
[emoji176][emoji177][emoji178][emoji178][emoji178][emoji178][emoji3590][emoji3590][emoji444][emoji445][emoji444][emoji445][emoji444]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom