Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,374
- 161,380
Wasalimie uendako kakaMlandizi moja iyoView attachment 1277035
Wasalimie uendako kakaMlandizi moja iyoView attachment 1277035
Toooba!! Kwahiyo umeharibu!!!Ah ah ah ah ah acha tuuu kwema lakin
Mzee Mshana ulimchek?
Kweli,au ni wewe ?Jesus..!!!
@sakayo. Nina njaa dada
Siyo Mimi etiKweli,au ni wewe ?
watu sokon wakuuza wanauza wa kununua wananunua
ni kutengeneza mazingira tu hapa
Asante kwa taarifa.Nauli zinaenda kama ifuatavyo.
Economy 25,000/-
Business 35,000/-
VIP. 50,000/-
Royal. 60,000/-
Ila boat mpya nimeona ina ziada kidogo, kuna madaraja ya 30,000 na 80,000/-
View attachment 1276880
View attachment 1276882
Hiyo ni Royal class ya 80,000/-
Ratiba ni kama ifuatavyo
7:00
9:30
12:30
16:00
Hizo ni boat kuondoka Dar na Zanzibar.
Kwa sasa ukitaka kuivizia mpya, inaondoka saa moja Dar, inageuza saa tatu na nusu, inaondoka Dar tena saa sita na nusu, inakuja kugeuza saa kumi kutoka Unguja. Inapumzika hadi kesho yake asubuhi.
n kupimana status kulingana na pictures tu
Karibu tukule matunda@sakayo. Nina njaa dada
Alipie tangazo
Location: Kijijini kwetu!Yaani njaa nayosikia hapa. Hebu weka location tafadhali.
Nani?Alipie tangazo
Mmmhhh
Mbona na mimi nilikuwa hapo hapo!
HuyoNani?