Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Mmhh kaka naona hunitakii mema,, mie nilivyo muoga wa maji na sijui kuogelea safari ya masaa 2 naanzaje kupanda majahazi ya wavuvi na yanavyopataga ajali karibu kila siku yale??

Majahazi labda nikiwa naenda Mbudya au Bongoyo dakika 20 ndiyo nitapanda ila siyo Zanzibar wala Pemba
Hapo zenji hata ukikosa nauli unaweza pata lifti majahazi ya wavuvi
 
I have white suede, blue suede, black suede, I have brown and cognac
I have suede for dancing and for pneumonia
I have suede for New York and for California
I have suede for Dar, when I come to join ya...

Niliamua kuweka kwa category, hapo ni brown themed boots tu. Vimoka na sneakers sijaweka. Hata black boots sijaweka.

Suede napenda sana.
Hahahaha I see what you just did there
 
Hahah mbona watu wanayapanda sana yale...

Huwa yanasafirisha sana mizigo kati ya Bara na Zenji...
Mmhh kaka naona hunitakii mema,, mie nilivyo muoga wa maji na sijui kuogelea safari ya masaa 2 naanzaje kupanda majahazi ya wavuvi na yanavyopataga ajali karibu kila siku yale??

Majahazi labda nikiwa naenda Mbudya au Bongoyo dakika 20 ndiyo nitapanda ila siyo Zanzibar wala Pemba
 
3033887E-BD6D-4FCA-969F-FA7E14621FD7.jpeg
 
Mmhh kaka naona hunitakii mema,, mie nilivyo muoga wa maji na sijui kuogelea safari ya masaa 2 naanzaje kupanda majahazi ya wavuvi na yanavyopataga ajali karibu kila siku yale??

Majahazi labda nikiwa naenda Mbudya au Bongoyo dakika 20 ndiyo nitapanda ila siyo Zanzibar wala Pemba
Usije ukapanda jahazi ndugu yangu
 
Back
Top Bottom