Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Umependeza babuu hakika mchana wangu unaenda kuwa barrrrrriiiddaaa kabisaaa! Santo sana!

Kila la kheri babu wasamilie uendako!
Asante Mjukuu, Wacha nimfate Bibi yenu huko huko Mjini

Maana tangu aende kusalimia Wakwe zetu huko Mjini, hajarudi huu Mwezi wa 7 sasa 😜 🙌
 
True love comes with jealous in it babu khakhakhaaaa! Kumbe hadi wazee mna wivuu😊!
Nilikua sijuiiii
Aliyesema Wazee hatuna wivu nani😅

Siku ukija kututembelea Likizo, nitakusimulia kisa Fulani na Bibi yenu Mwaka 1982, yaani bila kuchomwa zile sindano za kuniamsha mbona Presha ilitaka kuniua Kwa Wivu 🙌
 
Asante Mjukuu nitakaribia...🙏🙏

Hivi unaishi hapo Isanga ama upo kule Mjini? Kesho nitapita hapo 🤗
Tupo hapa kijijini Kawetere
Tunashuti tamthiliya Kali ya Bunji😂😂😂😂

Karibu
 

Attachments

  • IMG-20240608-WA0010.jpg
    IMG-20240608-WA0010.jpg
    69.5 KB · Views: 7
  • IMG-20240608-WA0012.jpg
    IMG-20240608-WA0012.jpg
    57.9 KB · Views: 5
Aliyesema Wazee hatuna wivu nani😅

Siku ukija kututembelea Likizo, nitakusimulia kisa Fulani na Bibi yenu Mwaka 1982, yaani bila kuchomwa zile sindano za kuniamsha mbona Presha ilitaka kuniua Kwa Wivu 🙌
Kwa umri wako better not involve in such kinda of things babu utakufa siku si zako!

Usiseme sijakushauri
 
Back
Top Bottom