Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 74,263
- 183,157
Kwa umri wako better not involve in such kinda of things babu utakufa siku si zako!Aliyesema Wazee hatuna wivu nani😅
Siku ukija kututembelea Likizo, nitakusimulia kisa Fulani na Bibi yenu Mwaka 1982, yaani bila kuchomwa zile sindano za kuniamsha mbona Presha ilitaka kuniua Kwa Wivu 🙌
Usiseme sijakushauri