Moo Click
JF-Expert Member
- Feb 18, 2015
- 3,495
- 3,253
Kona gan
Mmmhhh
Mbona na mimi nilikuwa hapo hapo!
Mmmhhh
Mbona na mimi nilikuwa hapo hapo!
Oooh!! Karibu nipo hapa fresh coach.Huyo
Tunajenga nini eti jamani!!Fungua Piemu bas tujajenge
Ya wapi eti jamaniOooh!! Karibu nipo hapa fresh coach.
Kwenye vile vimakuti ndo nilikaaKona gan
Moshi.Ya wapi eti jamani
AhsanteeKaribu tukule matunda

m nilikaa mwisho mwisho kule kwa mwishoKwenye vile vimakuti ndo nilikaa
Aah unaniangusha mwanakamatTunajenga nini eti jamani!!
Huko hapafunguki kabisaa
Nauli zinaenda kama ifuatavyo.
Economy 25,000/-
Business 35,000/-
VIP. 50,000/-
Royal. 60,000/-
Ila boat mpya nimeona ina ziada kidogo, kuna madaraja ya 30,000 na 80,000/-
View attachment 1276880
View attachment 1276882
Hiyo ni Royal class ya 80,000/-
Ratiba ni kama ifuatavyo
7:00
9:30
12:30
16:00
Hizo ni boat kuondoka Dar na Zanzibar.
Kwa sasa ukitaka kuivizia mpya, inaondoka saa moja Dar, inageuza saa tatu na nusu, inaondoka Dar tena saa sita na nusu, inakuja kugeuza saa kumi kutoka Unguja. Inapumzika hadi kesho yake asubuhi.
Unipe lifti.....Oohh daah itabidi nifanye mpango aise
I have white suede, blue suede, black suede, I have brown and cognacyour Clarks game is on point!
Don't see no suede's though....or are you not a fan?
