Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Hahah Harbin (nasikia kuna baridi hatari) sijafika mkuu, niliishia Shenyang tu kuna jamaa wakati huo alikuwa anasoma hapo...
Nimeishi shenyang sana kaka ,, hata week yote nilikuwa huko liaoning , this time nataka niende harbin nikacheki ice sculptures... wew ni mdau najua hahaha .. shenyang has raised me .. pande za Daoyi
 
Hahah Harbin (nasikia kuna baridi hatari) sijafika mkuu, niliishia Shenyang tu kuna jamaa wakati huo alikuwa anasoma hapo...

Nimefurahi kuskia hilo hakika Jf ni uwanja wa nyumbani , na nimejifunza kutojifanya mjanja humu ndani kuna watu wanajua vitu kuliko 🤣🤣🤣🤣🤣 pamoja ndugu .. Mungu azidi kukubariki
 
Rombo bhn
IMG_20191130_105500_8.jpeg
 
Toka 14 nilikuwa namfuatilia. Season yake ya mwisho ulaya ndio nilikubali dogo ni special, coz alivyoumia Llull kwangu season iliishia pale Euroleague, ila dogo aka-come through.

Dogo yuko poa sana, huwa siangalii game za Europe, ila dogo alisababisha nikafatilia game za Madrid.

Wakati anakuwa drafted kuna jamaa zangu nikawaambia kwamba Luca atasumbua sana, last year kwenye All Stars fans vote alimpiga gap hadi Steph Curry!
 
Dogo yuko poa sana, huwa siangalii game za Europe, ila dogo alisababisha nikafatilia game za Madrid.

Wakati anakuwa drafted kuna jamaa zangu nikawaambia kwamba Luca atasumbua sana, last year kwenye All Stars fans vote alimpiga gap hadi Steph Curry!

Mi Euroleague, Liga Endesa, Copa del rey, any competition Madrid wapo nipo.

Alitakiwa kuwa drafted number 1, ila most NBA heads are racists. Na wengi walipata wasi wasi since he's not athletic. Acha sasa waendelee kuomba msamaha. Msimu huu playoffs, all star tunaanza. Next season Kristaps akirudi form, MVP.
 
Mi Euroleague, Liga Endesa, Copa del rey, any competition Madrid wapo nipo.

Alitakiwa kuwa drafted number 1, ila most NBA heads are racists. Na wengi walipata wasi wasi since he's not athletic. Acha sasa waendelee kuomba msamaha. Msimu huu playoffs, all star tunaanza. Next season Kristaps akirudi form, MVP.

Yes, hapo kwenye namba moja ilitakiwa iwe hivyo.

Kama hakuna majeruhi, playoff iko open. All Stars ni given kwa form yake kwa sasa.
 
Back
Top Bottom