Mawardat
JF-Expert Member
- Apr 27, 2021
- 25,858
- 136,485
Hahahhahaha mwenzangu sijatoka na yamemwagikaIla maziwahapo ondoka kidogo ukafate sukari urudi kama hujakuta yako robo

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahhahaha mwenzangu sijatoka na yamemwagikaIla maziwahapo ondoka kidogo ukafate sukari urudi kama hujakuta yako robo

Had njaa imeanza ghafla lol.




Nibebee mahind mabichi, maboga, na karanga.
Sorry maamHivi Wige kila kitu ni lazima ukimaanishe? Unatutengulia udhu bana… leo ijumaa karim
Selfika kwanza ndio nitapokea hiyo ‘sorrySorry maam
Elewa midadi tena
Si unajua eeh
Nibebee ntakua napika futari.



Wallah njaa imeanza kuuma.
Maziwa hayana adabu 🤣
Duh nimecheka moooChristine1 we bishoo sana.
Shape lenyeewe uguu sasa ndyo ugonjwa wanguNa suruali ya kuchanika kama imeliwa na panyaView attachment 2230017
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Mungu na Shetani huwa wanakutana na kupiga stori; na hata kupanga la kufanya? Hii huwa sielewi kabisa.And the LORD said unto Satan, Hast thou considered my servant Job, that there is none like him in the earth, a perfect and an upright man, one that feareth God, and escheweth evil? and still he holdeth fast his integrity, although thou movedst me against him, to destroy him without cause.

@Depal yasieSelfika kwanza ndio nitapokea hiyo ‘sorry
Ukiangalia Ufunuo 12 : 7 - 12 ( Inajieleza vizuri sana, Shetani na malaika hawana tena nafasi mbinguni ), biashara ya Shetani kwenda na umbeya ilizimwa tu pale baada ya Yesu Kristo kumwaga damu ( damu inaneyo mema ) na baada ya hilo tukio shetani hakuwa na nafasi tena mbinguni.Mungu na Shetani huwa wanakutana na kupiga stori; na hata kupanga la kufanya? Hii huwa sielewi kabisa.
Msaada kidogo hapa Baba Mchungaji![]()
Avatar yako hii hahahhahahahahahhahhaha