Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

And the LORD said unto Satan, Hast thou considered my servant Job, that there is none like him in the earth, a perfect and an upright man, one that feareth God, and escheweth evil? and still he holdeth fast his integrity, although thou movedst me against him, to destroy him without cause.
Mungu na Shetani huwa wanakutana na kupiga stori; na hata kupanga la kufanya? Hii huwa sielewi kabisa.

Msaada kidogo hapa Baba Mchungaji
 
Mungu na Shetani huwa wanakutana na kupiga stori; na hata kupanga la kufanya? Hii huwa sielewi kabisa.

Msaada kidogo hapa Baba Mchungaji
Ukiangalia Ufunuo 12 : 7 - 12 ( Inajieleza vizuri sana, Shetani na malaika hawana tena nafasi mbinguni ), biashara ya Shetani kwenda na umbeya ilizimwa tu pale baada ya Yesu Kristo kumwaga damu ( damu inaneyo mema ) na baada ya hilo tukio shetani hakuwa na nafasi tena mbinguni.

Ukiangali kwenye kitabu cha Ayubu ( Job ) ni kitabu cha kwanza kabla ya Mwanzo ( Genesis ) kuna case unaiona katika Mwanzo sura ya sita inayo husiana na wana wa Mungu ( Sons of God ) ambayo ni moja ya aina za malaika, hawa malaika walikuwa assigned duniani kwa kazi ambazo guardian angel wanazifanya ( haikuwa intention ya Mungu mwanadamu awe guided na malaika ila baada ya utukufu kushuka wa mwanadamu Mungu akaona okay sasa nawapa hawa malaika...

Ukirudi back hawa malaika walikuwa wana assignment , walikuwa wana present daily report kwa Mungu, Utakuja kujiuliza why ? Shetani aliingia kati yao na ilikuwaje ? Na kwanini shetani hakuibuka kipindi hao hawapo ? Biblia inasema shetani ni mshitaki wetu kipindi malaika wanakusanya taarifa na kuziwakilisha kuna taarifa ambazo zilikuwa na dosari ambazo shetani alikuwa anatumia kama advantage kushtaki wakati huo, wale walipo kuwa wakipeleka hizo taarifa shetani alikuwa legal ana haki ya kufatana nao kupinga baadhi ya taarifa ili hukumu ifanyike na ndipo hapo.. balaa likaaanza ( nyakati hizo Sons of God taarifa za Job ) zilikuwa vyemaa tuuu nzuri sana, shetani alikuwa wengine anawashitaki ila ikija kwa Job anakosa shtaka mzbele za Mungu

Kama unaniruhusu niendelee kwanza Mwana wa Mungu nisije andika nikakosa mtiliko mzuri au nikaosa kujibu swala lako vyema

ila kwa ufupi kwa sasa hivi shetani hana nafasi yake kule na damu ya Yesu imevunja access ambayo alikuwa nayo kwa sasa hivi kakalia kuti kavu 🙏
 
IMG20220520161420.jpg
 
Back
Top Bottom