Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 62,251
- 156,813
Leo sijui ameamkia upande gani baba pasta maana mood aliyokuwa nayo jana !🤔🤔🤔🤔🤔
😂😂😂😂hizi simu acha kabisa unachat huku unafanya kazi nyingine ndo hicho kimetokea😂😂
Oh okay...a man must eat well so he can hit it well🤣🤣🤣🤣🤣Hapan niko na my husband
Hahahahahaha Coca akija leo utapotea humu aisee.Wapi wewe
Mboga saba kabisa
Ukiweka picha hapa ni mtafutano
Unang'aa kama jiwe la kito
Busara na hekima zimekujaa
Ungebeba kidumu
Akili zako zingekuwa fyatu
Kama pisi kali coca
Msalimiehizi simu acha kabisa unachat huku unafanya kazi nyingine ndo hicho kimetokea
Inshaalah zimefikaMsalimie
Yule kiswanswadu wanguHahahahahaha Coca akija leo utapotea humu aisee.
Kung'aaaa?????
Dah!Shimba Ya Buyenze Umechelewa kujibu ngoja nikajiandae niende shambani Nilitaka nikubariki na mambo Yako unayopenda kabla wajuba hawaamka ila imeishaa hio!!!
Have a great and blessed Thursday wapendwa!
😂😂😂😂😂Nacheka huku mpaka machozi nilivyomaliza kuandika sikuangalia nikaendelea na kazi nyingine😬😂😂Oh okay...a man must eat well so he can hit it well🤣🤣🤣🤣🤣
Huku Misungwi kwema Boss Ledi....Lol ndio nimeamka saivi msukuma nikasema niperuz kidogo Kabla sijajiadaa kwenda shambani
Habari za huko msukuma!!
Morning BL… good day to you too!Good morning Mamaa Mlebanon!! Uwe na siku njema ✋!!
Shule nilopangiwa walimaliza ijumaa msukuma!Huku Misungwi kwema Boss Ledi....
Watoto wako bado wanafanya mitihani au mlishamaliza. Tunawaombea wafaulu vyema. Ndiyo furaha ya wazazi, walimu na taifa....
Santo sana na karibu sanaa !!Morning BL… good day to you too!
Leo ni siku ya upako. Please usimtibue. Katuombea sala yenye nguvu sana. Tusimkorofishe puliziLeo sijui ameamkia upande gani baba pasta maana mood aliyokuwa nayo jana !
Hongereni!Shule nilopangiwa walimaliza ijumaa msukuma!
Wasalimie sana misungwi!
Mie nimeuliza tu msukuma mi mwenyewe sitaki wamvuruge kabisa wakimvuruga huwa anachemka balaa humu!Leo ni siku ya upako. Please usimtibue. Katuombea sala yenye nguvu sana. Tusimkorofishe pulizi
Usiwaze msukuma lazima nitakustua!Hongereni!
Misungwi tupo tunahangaika na kilimo cha nyanya na dengu. Siku nyingine ukipita Rocky City nishtue.
Hayo macho mlegezo
Nyenyenyeeeee 😂😂Hayo macho mlegezo
Alikuwa Ozil
Arsenal chama kubwa
Sihami leo wala kesho