Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 50,467
- 203,085
😁😁 nimekuitia kibonzo cha Arsenal.. mengine yakupitege tu Pat akeeAvatar yako hii hahahhahahahahahhahhaha
nsalimie unaemtafuta maneno
😁😁 nimekuitia kibonzo cha Arsenal.. mengine yakupitege tu Pat akeeAvatar yako hii hahahhahahahahahhahhaha
nsalimie unaemtafuta maneno
Ni- whatsapp hebu kwanza😁😁 nimekuitia kibonzo cha Arsenal.. mengine yakupitege tu Pat akee
Kama kawaida....mzee wa kutafsiri😂😂😂😂Kupiga deki tena
Wapi huko![]()
Naomba vocha ya halotel


Mpaka jumapili nikienda mjini mkuu! 🤣🤣🤣😂😂😂😂Naomba vocha ya halotel![]()
Nimeyaacha yamwagike hadi yalivyotuliaMaziwa hayana adabu![]()
,,nilishindwa kuokoa moto mkali nngeungua
Santeeeeeeeh!!!✌️✌️✌️✌️Ndyo wikiend kumbeView attachment 2232005
Thawa uthinithahau thory nina kithembeMpaka jumapili nikienda mjini mkuu!![]()
Unayapuliza 🤣 yanatulia..Nimeyaacha yamwagike hadi yalivyotulia,,nilishindwa kuokoa moto mkali nngeungua
Sent using Jamii Forums mobile app
We mzee utakuwa na shida pahala si bureKupiga deki tena
Wapi huko![]()

Usiwa mdogo wangu unikumbushe jpili asubuhi kabisa!Thawa uthinithahau thory nina kithembe
Au anaweka kijiko tu!Unayapuliza 🤣 yanatulia..
Au ukitaka yasimwagike korogea sukari
Sawa Ila mm siyo mdogo wako niamkie ww mtotoUsiwa mdogo wangu unikumbushe jpili asubuhi kabisa!
Situmiagi sukari,,,,,kuyapuliza tuUnayapulizayanatulia..
Au ukitaka yasimwagike korogea sukari
Tena Mie mamdogo enu kabisa humu!!Sawa Ila mm siyo mdogo wako niamkie ww mtoto
Ooh okay… basi uwe unapuliza
yakianza kufurumia uweke kijiko tu yanachemkia chini kwa chini hayamwagiki!