Nations
JF-Expert Member
- May 4, 2022
- 4,892
- 16,997
Hata Elimu ya Dini ya Kiislam nafundisha tu flesh hapo ndio penyewe kabisaa ๐๐๐ Biology, Physics, Hesabu ipo deal kidogo nikija hawato anza mizunguko mingi ๐๐๐๐ Nimekumbuka kipindi napigidha pindi pale Kinondoni Muslima pindi la Hesabu nomaa sanaaNjoo kwa Hm tu tena Waislamu wao wana EDK - Elimu Ya Dini ya Kiislam ila bible knowledge hakuna karibu sana!


au nikutolee na huo muemoj..

