Duh pole yakeAnaendelea kushiriki shiriki mara miss photo nini sijui
Tatizo hela hakana..Ika kazuri,kembamba karefu
HahaSitaki kuumiza kichwa
Bado mdogoDuh pole yake
Mpaka umri utapita wa kushiriki miss tz
Namtakia kila la kheri katika safari yake .
Bado ana muda kumbeBado mdogo
Wa mwaka 2000
Yeah nafikiri alimaliza 2015, nilimfahamia kule celebrities walikuwa wanamdiscuss.
Kwa hiyo mnakoma na kinge cha wasomi? Kina "kitumbo" na "remember" si wanapata tabu? J lo naye ana mdomo
Unahakikisha kipindi cha madamme mahandow hakuna kukikosa.Khakhaaaa! Hasa wa Advance ndio vichomi kweli kweli!!
π₯Ήπ₯Ή Nimekwama kwenye ISAIAH 53.. nimehsindwa kutoka hapaaa
But He was wounded for our transgressions, He was bruised for our guilt and iniquities; the chastisement [needful to obtain] peace andwell-being for us was upon Him, and with the stripes [that wounded] Him we are healed andmade whole.
Khakhaaaa! Hasa wa Advance ndio vichomi kweli kweli!!
Tangazo naona ni la startimesβ¦ hao wengine sijuiβ¦Hivi ni wenye Startimes tu ndio wataona?
Tutakukamata na braza big tukufungie kwenye kituo Cha maombi.Ukute kufumba na kufumbua naenda kujifua na mimi alimopita boss ledi
Na vitabu vyangu pendwa kwenye bible ni ;Ewaaa nenda kajifungie tu huko, uishibishe nafsi yako. Hukawii kuvurugwa humuπππ
wakianza kuongea R na F wachache ndo tunao tamba, na mie huwa navimbaa sana.
Kitumbo nae kasoma bhana, tena IT,
Remember aligombana na M hiyo siku, ikabidi modes wetu wam bann kwa 7days, ila yule ana matusi khaaaah,
Alimuambiaa R siku hiyo nawee bahati yako danga likakupeleka ulaya ukasome, vingnevyo ungekua nyoka wa tandika,
R akamjibu naweee tafuta danga akupeleke hata hapo Kenya km ni rahis, utabaki kubwatuka hovyo public ili ule, niache huna hadhi ya ku battle na mie, tafuta mbumbumbu wenzio.
Hata njaa iniume vipi, nikiwa chimbo inakata. Woiiiiiiiiiih
Uwiiiiiih wananiogopa balaa!! Wanamjua mjeda na fujo hawaniletei mie!! Kuna mmoja nilimkamata nje ya shule aliniletea ujuaji alirushwa kichura chura balaa akawasimulia wenzie!!advance ashakua mkubwa. Madame ukikaa vibaya anakupitia.
Ni king'amuz ambacho sijawah kukielewa.Tangazo naona ni la startimesβ¦ hao wengine sijuiβ¦
Na hao startimes wasiamue tu kufanya kama wanavyofanyaga kwenye BSS
Narudia narudia yote 53 nazunguka mmbuyu tu ππ
Totooooo ππNi king'amuz ambacho sijawah kukielewa.
Hadi nikaacha kufatilia tena BSS, nakosa uhondo.
Wacha tusubiri labda Wasafi wataonyesha ili tuone na wengine