Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Fainali ya Miss Tanzania leo
Anne unangalia hii
1653031708918.jpg
 
Unawish kuhamia mjini? Kaa hukohuko kwanza hadi arudi Mlebanon; atakufa kwa presha za mapedeshee huko alipo😁😁
Kabisa aseeh ! Mie nataka potential areas hata mtu ukiwekeza na kufanya mambo yako panakubali sasa huku uwiiii!! Afu vijijini nuksi kweli ukianzisha biashara akaja mteja usipomkaribisha au kumsalimia kwa vernacular language itadodaa!!🙆🙆🙆 kuna Ukabila mnoo mnoooo yani na figisu nyingi sana kutokana na ile majority kabila moja !! Kabila lenyewe sasa!!🤔🤔
 
Ndiyo nilikuwa nawaza nani F wa "kishua" afu anaimba. Maana lazima awe high class ili agombane na N. Sio kwa lile hips lake jamani
sema mie nawakubali R na F wana behave kisomi na smart, wanaonesha umuhimu wa kuwa na Elimu, ila R anajua kutetemesha, anatema yai had chimbo linatikisika, yaan kimalikia chake kimenyoooka mno, ndo raha ya kusoma majuu.

Afu kumbe F kamaliza UDSM 2015, mie nilijuaga mtoto mwenzangu wee siku hiyo acha aniweke wazi nlishtuka, ana muonekano wa kitoto.

N mswahili sana, some time wakianza kukwaruzan na J lo, bas mambo mareshhhh.
 
Kabisa aseeh ! Mie nataka potential areas hata mtu ukiwekeza na kufanya mambo yako panakubali sasa huku uwiiii!! Afu vijijini nuksi kweli ukianzisha biashara akaja mteja usipomkaribisha au kumsalimia kwa vernacular language itadodaa!!🙆🙆🙆 kuna Ukabila mnoo mnoooo yani!
Duuh vijijini changamoto napo sometimes
 
Back
Top Bottom