Bora ulivyoacha kunywa
Lakni kuna maisha ni lazima mtu uyapitie ili ujifunze na kujua nini ni nini..
Natamani kuionja hiyo Dogfish 90 nithibitishe hicho unachokisifia ni kweli?
Unachupa yako ya Chardonnay kutoka kwangu..siku ukifika misungwi nijuze chap..hallelujah