Mawardat
JF-Expert Member
- Apr 27, 2021
- 25,912
- 136,619
Jino lako bado linakupelekesha au lishapoa? Au umeamua kuling'oa?
Nimesubiri selfie hadi nachoka, ngoja nilale tu😜
Noma sana mie mwenyewe sielew hapaKunasiku nilichanganya bana Absolute,Jameson na Windhoek stori itaendelea baada ya commercial break
Hata wewe hujui lugha yako ya mama? Kwa nini? Ni kukulia mijini au wazazi hawakutaka ujifunze? Imagine sasa watoto wenu na wajukuu zenu. Ndo kabisaaa hawatazikumbuka lugha zetu hizi.Ah inasikitisha
Mfano kwetu wajukuu wakubwa ndo wanaelewa ila hawajui kuongea .
Sisi wadogo ndo hatuelewi kitu wala kuongea .
Mimi nikifundishwa nasahau kabisa
Nikaianza safari.
Weuweeee !!!Jilipueeee. Nina faya extingwisha
Huyo namba wani kuna kipindi kidogo aniue. Ni sababu mojawapo iliyonifanya nikomae tu na mvinyo japo na zenyewe naweza kupitisha hata miezi 6 sijaonja. Vodka is dangerous!Nikaianza safari.
View attachment 2231058
Nikatiwa moyo na kuonesha mafanikio
View attachment 2231059
Ghafla mno kikaibuka kikwazo
View attachment 2231060
Nitarudi after the break
Hata wewe hujui lugha yako ya mama? Kwa nini? Ni kukulia mijini au wazazi hawakutaka ujifunze? Imagine sasa watoto wenu na wajukuu zenu. Ndo kabisaaa hawatazikumbuka lugha zetu hizi.
Kuna wasiwasi mkubwa kuwa lugha nyingi zitakufa kufikia mwaka 2100 na kuna juhudi kubwa ya kuziandika na kuzirekodi kabla hazijafa. Serikali ya Marekani kupitia National Science Foundation wana mradi wa mamilioni ya dola kuhakikisha kuwa lugha zote ndogo ndogo na ambazo hazina nguvu za kiuchumi zinahifadhiwa kabla hazijafa.
Kuna wanaounga mkono kuwa acha tu zife ili (kwa mfano hapa Tanzania) tubakie na Kiingereza na Kiswahili (na zingine chache kubwa kubwa kama Kisukuma, Kichaga, Kihaya...) kwa sababu lugha hizi hazitusaidii cho chote mbali na kuwa chanzo cha utengano na ukosefu wa utaifa. Wengine (akina Ngugi wa Thiong'o) wanapinga kuwa lugha hizi ni utambulisho wa watu na zimebeba maarifa na falsafa ya maisha ya jamii husika na zinapokufa tunapoteza maarifa mengi mno...
Dunia inageuka kuwa kijiji na lugha zenye nguvu za kiuchumi ndiyo zitabaki. Pengine ni jambo jema. Pengine ni jambo baya.....
Usisahau kunitag.Weuweeee !!!
Don't dare me Mama Mchungaji...
Picha iko tayari hapa japo itakaa sekunde 5 tu basi...
Mayutongs nimeshaachana nayo sababu ya uzee. Sasa nimehamia kwenye tuvimbaumbau ila tule twenye vishundu vya kishikaji. Nina kamoja hapa kananipelekesha hatari. Mizagamuo non stop yaani dah! Sijui kama nitaweza kumenteini hii intensity. Nilikuwa nimezoea mayutongs mapole mavivu ila hapa mh! Ngoja tuone ila dalili zote za kumwaga manyanga naziona![]()






poleeeeeeh.





yatakushindaaaa.Haipingwiiiiiiiiiih,So siku hizi upo na vidagaa km cocastic
Ila km anapenda kuzagamuana ndy vizuri,au nasema uongo coca?
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app





