Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Baba Mchungaji kaamka na upako kwa sala za kuhamisha milima lakini ona mlikomfikisha sasa. Safari ya kurudi Ethiopia ikija kushindikana ghadhabu ya Muumba haitawaacha salama
😂😂😂😂😂
Tumekosa sisi, tumekosa sana.

Ila anatupa somo zuri, mafundisho ya mambo ya kijinsia si yanaruhusiwa kwa wanakondoo ili yawasaidie kwenye maisha yao
 
Nimekasahau
Cho chote unachoweka mitandaoni humu hakifutiki kamwe Mama Mchungaji!
screencapture-jamiiforums-threads-selfika-na-jf-snap-it-show-it-1633216-page-7367-2022-05-18-1...jpg
 
Wee mwenyewe baba wa ma yutongs huwa unayafanya nn km sio kuwazagamua.
Mayutongs nimeshaachana nayo sababu ya uzee. Sasa nimehamia kwenye tuvimbaumbau ila tule twenye vishundu vya kishikaji. Nina kamoja hapa kananipelekesha hatari. Mizagamuo non stop yaani dah! Sijui kama nitaweza kumenteini hii intensity. Nilikuwa nimezoea mayutongs mapole mavivu ila hapa mh! Ngoja tuone ila dalili zote za kumwaga manyanga naziona
 
Back
Top Bottom