Selfika na JF: Snap it. Show it



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Amen..
 
Amen. Mwana wa Mungu.

Maombi ni ishara ya utegemezi kwa Mungu na uwezo wake
Maombi ni ishara ya unyenyekevu mbele za Mungu
Maombi ni pumzi na uhai
Maombi ni nguvu
Maombi hutosegeza kwa Mungu, nguvu na uwezo wake
Maombi hu activate nguvu za Mungu na wajumbe wake kufanya kazi nasi
Maombi huongeza ujasiri
Maombi hufungua jicho la rohoni
Maombi hutuingia katika realm of God
Maombi ni fungu
Maombi ni huduma
kutoka kuomba ni dhambi
Maombi ni kumjua Mungu
Maombi ni kumshinda shetani na agents
Maombi huaimarisha mahusiano yetu na Mungu
Maombi hufanya huduma ya malaika kuwa active katika maisha yetu
Maombi hufungua ufahamu wa rohoni
Maombi huimarisha afya
Maombi hutupa nguvu ya kuishi timeless zone
Maombi hutupa nguvu za kutawa mipaka tetu
Maombi ni lugha
Maombi ni nuru
Maombi ni kinga
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…