Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 71,970
- 177,190
Hata Zamani tu..kwani unakuta kata ina shule kama 3 au 4 za sekondari 9 au10 za msinngi wakati katika kata kuna dispensary 1 tu! kituo cha polisi kimoja watendaji wa kata wawili n.k so Moja kwa moja walimuy ndio tumezagaa zagaa sana!Mmejaa mtaani Kwa miaka hii
Lakini kipindi Cha nyuma ajira zenu zilikuwa hazisumbui.
Na ninazungumzia kijijini huko ndanindani.
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Tena miaka hii vijijini ndio kuna scarcity of teachers kwa wingi kwani tangu 2015 ajira za Walimu zimekua za kubip bip sana tofauti na huko nyuma enzi zetu aaaaa kila mwaka tulikua tunamwagwa !!
Sasa hapa kati walimu kibao wamehama hama kwenda mijini na hakuna replacement!
,,,mwalimu ambaye ni mama yangu akatubamba.. Alikuwa anarusha kichura yule Maza acha kabisa.
,Maza alikuwa ananipenda na hakuwa tayari kuniona nachapwa kizembe bila sababu za msingi 





