Wigelekelo
JF-Expert Member
- Sep 2, 2018
- 8,765
- 26,901

Au bhas

😂 utajua wewe.Nikiona manyoya
Nijiongeze sio![]()
Wewe ni chiziIna nyota ya kilokole
Nani anataka

Mkuu, nakuomba faragha mara moja. ASAP
Au basi nini?
Au bhas
Yaan wewe dots zako huwa unaconnect kimakosa sanaUmeongea kinyongee
Elewa tu
Halwa haina makombo


Nipikie na mie bwana
Unafaidi Sana madamNingekua huko ningekuletea mama mchungaji huku wananzengo na wanafunzi wananileteaga mengi balaa
yani mihogo magimbi viazi karanga ndizi mboga za majani maparachichi kwa wingi sana!!
Mama JuniaTupumzishe emoj
Mjep nimepumzisha emojView attachment 2230374
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
unywele unakuja speedMzima kabisaYaan wewe dots zako huwa unaconnect kimakosa sana
Uko poa lakini??
Wazazi wangu walikuwa walimuUtajua
Hujui
hapa nimeletewa parachichi na machenza!Unafaidi Sana madam
Mdada mwenye uzuri wake.Sponsored by rafiki yangu wa form 1!
View attachment 2230375
Sponsored by rafiki yangu wa form 1!
View attachment 2230375



Speed ya mchongoMama Juniaunywele unakuja speed
