Wee kaka bila kunitaja huridhiki eeeeh? Unawashwa sana ukiniona? Sio wa mfano ktk mambo yenu, tuheshimiane samahani sana, tena kuwa na adabu na uishikilie.
Nijie taratibuuu, huo mwendo sio wenyewe, utaharibikiwa bureee.
Umekosa wa kutolea mfano eeeeh? Sijaamka na wee leo na sihitaji kuamka nawee.
Ukijifanya mjinga kidogo mbele ya watu utajifunza mambo mengi,kuhusu hao watu na tabia zao bila kutumia nguvu kubwa ambapo itakusaidia kujifunza zaidi namna ya kuishi na watu tofauti bila shari wala kelele,