Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Kwa hiyo

Mmekula sana kuku eeh
Siyo kuku tu.
Wanafunzi walikuwa wanawapa kuni,wanawachotea maji enzi hizo mimi mdogo.

Nimekua naona wanaleta hiki,mara kile
Maembe yakianza sasa acha tu ..
Kila mtu anataka ampelekee mwalimu .

Watoto wa mjini hamuwezi elewa haya mambo.

Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
 
Siyo kuku tu.
Wanafunzi walikuwa wanawapa kuni,wanawachotea maji enzi hizo mimi mdogo.

Nimekua naona wanaleta hiki,mara kile
Maembe yakianza sasa acha tu ..
Kila mtu anataka ampelekee mwalimu .

Watoto wa mjini hamuwezi elewa haya mambo.

Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Kumbe rushwa inaanzia huko

Tutafika tumechoka
 
Yani hapa maji yameisha ka binti kanachokaje kuchota maji mtoni Huko vipindi vikiisha nawachukua form 3 ambao sio candidate class wakanichotee mie!!😜🤣!
Kuni wataleta waliofeli mid term tena asante umenikumbusha nilikua sijawapa adhabu!😂😂
Siyo kuku tu.
Wanafunzi walikuwa wanawapa kuni,wanawachotea maji enzi hizo mimi mdogo.

Nimekua naona wanaleta hiki,mara kile
Maembe yakianza sasa acha tu ..
Kila mtu anataka ampelekee mwalimu .

Watoto wa mjini hamuwezi elewa haya mambo.

Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
 
Yani hapa maji yameisha ka binti kanachokaje kuchota maji mtoni Huko vipindi vikiisha nawachukua form 3 ambao sio candidate class wakanichotee mie!!!
Kuni wataleta waliofeli mid term tena asante umenikumbusha nilikua sijawapa adhabu!

Yaani ukiacha zile za adhabu na kuchukua darasa Fulani likafanye kazi .

Kuna wale wanakuja kufanya willingly ,unakuta mwalimu naomba nikusaidie hiki..
Mwingine mwalimu nikubebee kikapu.

Aisee mwalimu unakula mema ya nchi wewe na familia yako.

Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
 
Hahahahahahahh kazi za rejareja hakuna kuhangaika labour force ipo!


Yaani ukiacha zile za adhabu na kuchukua darasa Fulani likafanye kazi .

Kuna wale wanakuja kufanya willingly ,unakuta mwalimu naomba nikusaidie hiki..
Mwingine mwalimu nikubebee kikapu.

Aisee mwalimu unakula mema ya nchi wewe na familia yako.

Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
 
Sasa hapo kwenye kazi walimu wa kiume wanawakulaje mabinti uwii🙆🙆🙆🙆!!

Yaani ukiacha zile za adhabu na kuchukua darasa Fulani likafanye kazi .

Kuna wale wanakuja kufanya willingly ,unakuta mwalimu naomba nikusaidie hiki..
Mwingine mwalimu nikubebee kikapu.

Aisee mwalimu unakula mema ya nchi wewe na familia yako.

Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Na vyenyewe vinavyopenda na kufurahi sasa!!🤔🤔🤔🤔
 
Sasa hapo kwenye kazi walimu wa kiume wanawakulaje mabinti uwii!!

Na vyenyewe vinavyopenda na kufurahi sasa!!
Dunia ya sasa imeharibika,,,maadili hakuna tena.
Mabinti wanajitegesha,walimu wa kiume nao wanachukulia advantage.


Zamani miaka ya 70 huko wazee wanafanya hii kazi,haya mambo yalikuwa hakuna.

Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
 
Halafu utasikia mtu anasema ualimu ni kazi mbaya!
Hajui raha iliyopo huko

Tena uwe mwalimu vijijini ndani huko.
Ualimu ndiyo taaluma inayoheshimika sana kuliko zote huko vijijini.

Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
🤣🤣🤣🤣🤣 Mweh Anne acha basi huko kuheshimika kwio🙄!
Ndio tumejaa kwa wingi kuliko kada nyingine!!
 
Back
Top Bottom