Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Naombaaaaaaa tembea kwa step na taratibu, sawaa eeeh?
Hiyo haraka yako utajikwaaa na uanguke bureeee,

Relaaaaaaaaaaaaaaxxxxxxxxxx!!!!!!!
😅😅😅 eeeh ... ivi vinyoleo vinanichanganya sana , vikiwepo kichwani vinaitwa nywele, kwenye kidevu wanaita ndevu au mustach, kwenye makwepa wanaita nywele za mwakwapa za down kati hapo eti zinaitwa vuzi sijui alifikiria nini alie kuwa ana vipa majina, miguuni na mikononi nafikiri wanaita malaika 😅😅😅😅
 
Nakuja mdogo angu, tufanye maombi daah
IMG20220518115457.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakika shos naachaje kutamba mie nipo na baunsaaaaa cocastic shos ake namie unawapangua tu tena kwa mkono mmoja !!
shouzzzzzzzz nimecheka hapaaa, sina mbavu wallah. Kwa mkono wapi? Ni kidoleee bhanaaa, napapasa tyuuh km sio kukuna, mkono si ntapiga niue, sitaki jela mie, Dona la uhuru bado nali maindi kinyamaaaa.
 
Na mizagamuo ya kujipimia ausio!!!🤣🤣🤣😂😂😂😂Waleteeee waleteeeeeeeeeeeeee!! 🙇🙇🙇🙇🙇🙇🙇🙇
shouzzzzzzzz nimecheka hapaaa, sina mbavu wallah. Kwa mkono wapi? Ni kidoleee bhanaaa, napapasa tyuuh km sio kukuna, mkono si ntapiga niue, sitaki jela mie, Dona la uhuru bado nali maindi kinyamaaaa.
 
Back
Top Bottom