Lenie
JF-Expert Member
- Aug 3, 2012
- 17,222
- 50,170
Nikiwa mimi si ndio fresh au😂🥹🥹🥹 Ebu nije nikuone kama ni wewe kweli ila sasa ukiwa wewe au basi 😅😅
Njoo bana unione uthibitishe
Nikiwa mimi si ndio fresh au😂🥹🥹🥹 Ebu nije nikuone kama ni wewe kweli ila sasa ukiwa wewe au basi 😅😅
Santee dear, naisubiri


Poapoa.. Tukutane muda wetu mjumbe!Mida yake bado😂😂
Mie kunigusa ni sawa na kudumbukiza kichwa kwenye Conc Suphuric Acid muulize mkemia mkuu wa selfie atakuambia kama hata vuzi la kichwani kama litatoka










jaman mr kahawa hizo sio shida zangu mbna. Hebu relaaaaaaaxxxxxx.Mbaazi nadhani sijawahi kulaAh kumbe
Choroko nachozipendea zinawahi kuiva pia zinaongezeka ukizipika .
Msimu wa Mbaazi hadi raha wanapima nyingi hizo sokoni
Uwiii usiwekee maombi mengi, unashangaa inaanguka inapasuka.
Tunamalizia na sala ya Baba yetu uliye mbinguni![]()
Abeeeeeeeeee🖐️🖐️🖐️🖐️😅😅😅 Nileteee Heaven Sent nileteeeni Heaven Sent in JPM voice 😅😅😅😅 leo sijui naandika nini
Haina noma madamPoapoa.. Tukutane muda wetu mjumbe!
Hakii aliekuvuruga Sijui nani walai! Tupumzishe kidogo mkuu!😀😀😀😀 Mie kunigusa ni sawa na kudumbukiza kichwa kwenye Conc Suphuric Acid muulize mkemia mkuu wa selfie atakuambia kama hata vuzi la kichwani kama litatoka
Zinafanana na njegere kabisaMbaazi nadhani sijawahi kula
🐒🐒🐒 au 🙉🙉🙉 sitaki kusikia 😅😅😅Nikiwa mimi si ndio fresh au😂
Njoo bana unione uthibitishe
😅😅😅😅 acha niwaache ukweli nikapigizane sasa kelele na wa ofisini nyie tumemalizanaTupumzishe kidogo mkuu!
Uwiii usiwekee maombi mengi, unashangaa inaanguka inapasuka.
Hiyo mpe boda chap ailete nitaiombea mwenyew![]()





Shendwaaaa pepoooo
Heaven Sent kuja umchukue mdogo wako
Anaita watu Malofa
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Weuweeeeeeeeeeeeeeeeeeeh!!!! Yaan nasifiwa hivi tena wazi wazi na ile enyewe sio ya kinafiki, afu nisiringe? Hapanaaa sio mie na siwezi kabisaaa,Shos Ukiacha wenge wewe ni booongeeee la jembee!!!!










NitajaribuZinafanana na njegere kabisa
Ni nzuri pia
Mkaombeane mapepo
💕💕💕🥰Tusisahau kuselfika bandugu View attachment 2229203
Baba pasta kwahuu ukorofi lazima warembo wakukimbie humu!!😂😂🤣🤣😅😅😅😅 acha niwaache ukweli nikapigizane sasa kelele na wa ofisini nyie tumemalizana
Jesus; nimefanyaje jirani?Leo hakuna atae niweza humukwanza huyo unae muita nina hasira nae ni bora asitokeee hapa
![]()