Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Baba pasta Acha upambe ujue!!! Ebu tuendelee kuselfika bana
Mama la mamaa , mama la wote mahondaw .. unachosena kweli, wanakuwa hawajiamini na wengine wanakuwa kama malaya malaya ( samahani sipendi kabisa kutumia hili neno ila imenibidi sina neno lingine 🥲).. Ukiona mwanaume malaya malaya atulii lae nae mbali anaweza kuleta mamikosi ndani ta nyumba nje tu ya magonjwaa alafu auto mnakuwa mnadhaurika 😅😅😅
 
Baba pasta Acha upambe ujue!!! Ebu tuendelee kuselfika bana
Basi kwa kuwa umesema wewe na kwakua nina ma full respect kwa wamama, acha nikaushe upambe ... maana kichwa leo ina nini sijui tyuuu 🤦‍♂️🤦‍♂️🤦‍♂️🤦‍♂️ naona kama nimekuwa backbencher vileee muanziasha kelele na vurugu
 
Back
Top Bottom