cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,101
- 181,172
Bwana yupo,nifundishe mizagamuo inavyokuwagaNikuandalie jamaa wa aina gan? Yaan unataka show ya package ipi?![]()
Ah huwa wanasumbua sanaYaani wapo pale wakavuu
Wanauliza watu unaenda stand ya mkoa?
Pita huku..
Sasa mtu kama ndio mgeni si anaenda.
Bwana yupo,nifundishe mizagamuo inavyokuwaga






sasa huyo bwana ako hajui jinsi ya kukuzagamua? Hebu muulize uraia wake haraka sana. Khaaaah.Nimepata chimbo la bagiaAh huwa wanasumbua sana
Ukiwa mgeni ndio unaenda kabisa
Ooh nzuri zinavutia
Hata ukijua
Mimi bora nisijue..aisee kama najua kabisa
Sema mapenzi ni upofu brother.
Naona unaupiga mwingi kaka mkubwa![]()
Hizi tamu mnooooo.



Yaani nijue kabisa ilikuwa hivi halafu niende hapohapo?Hata ukijua
Hakuna kitu
Utaeza fanya
Tamuu acha kabisaHizi tamu mnooooo.![]()
TaaaamuuOoh nzuri zinavutia
Hapo zinanoga balaa
Nimefurahi kuona umezipenda
Unaenda vizuriYaani nijue kabisa ilikuwa hivi halafu niende hapohapo?
Ni kweli hakuna kitu naweza kufanya.
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Tamuu acha kabisa
Hapa nimekula tatu zote tumbo limejaa
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app




yaan 3 tumbo limejaa uwiiiih.Ni mapenzi tu au kuna cha ziada?Unaenda vizuri
Tena hakuna kitu utafanya
😅😅😅😅 mie huyu sinaga dogo
Mimi bora nisijue..aisee kama najua kabisa
Sema mapenzi ni upofu brother.
Naona unaupiga mwingi kaka mkubwa![]()
mie huyu sinaga dogo








😅😅 Tafuna tyuuu , eeh unatoka na mtu wa mwenzako au umepundua yeye kawa ex na wewe umekuwa present sasa unajionesha onesha nini kama kichwani hakuna kamasi au kutojiamini na huu huwa ni uchawi 😅😅😅 umepindua meza umejiona mjanja kausha liwa kimya kimya ukifika wakati wako wa kupigwa chini inakuwa fresh 😅😅😅😅😅 Madam leo kichwa yangu ya motooo inafuka moshi unisamehe sijui hata naandika nini 😅😅Naomba nimalizie kutafuna kwanza nakuja 😂🤣🤣🤣🤣!!
Eti ajiegesheBaba pasta binafsi sitakagi msongamano kabisa na sipendi dharau za rejareja.... Yani mfano nijue baba pasta unatupanga waziwazi weeeeeeeehhh.. mie nehi nehiii!!
Hao wanaochukua Watu wa watu nakujionesha binafsi naona huko ni kutokujiamini yani hawakuamini kama wanaeza toka nahuyo mtu possibly walijitahidi sana kutaka kupindua meza kipindi hiko ila walishindwa sasa mmebreak up ndio mtu anaona tu ajiegeshe hapo no way!
Nimesema possibly














Upo nikuwekee picha ya zamaniyaan 3 tumbo limejaa uwiiiih.