Nations
JF-Expert Member
- May 4, 2022
- 4,892
- 16,997
aaaweeeee kama 1.5 L la mtindi lainiii wa asas 😅😅😅 njoo ukitumbue basii kidogo tyuuuuNitoleee balaa lako hapa wee.![]()
aaaweeeee kama 1.5 L la mtindi lainiii wa asas 😅😅😅 njoo ukitumbue basii kidogo tyuuuuNitoleee balaa lako hapa wee.![]()
Samsung ni hadhi tu ya jinaTecno hoyee
Huwa ni simu nzuri pia ukipata yenye megapixel nyingi picha inatokea vizuri kweli .
Wengi wanaotumia Samsung hawapendi kurudi kwa mchina tena au watumie iPhone ,wewe upo tofauti .
Yatakushinda wee dada,Naongelea hii iliyopita kama upepo wa kisulisuli.
Angalau boss ledi ulikulapo kula bata![]()
















Kwani wamekufanya nini jamani?? maisha lazima yaendelee baba pasta achana nao ebu Tuendelee kuselfika basiAsie jifunza lazima afunzweee 😅😅😅 mie najitahidi kutokomeza zeroooo .. ingawa life is choise ila fimbo lazima uchapwe 😅😅😅 ila leo nimeamkia wapi jamani
Yeah Tecno ina uzuri wakeSamsung ni hadhi tu ya jina
Ila tecno ni simu bora sana.

Una wazimu weee,aaaweeeee kama 1.5 L la mtindi lainiii wa asasnjoo ukitumbue basii kidogo tyuuuu








😅😅😅 Nileteee Heaven Sent nileteeeni Heaven Sent in JPM voice 😅😅😅😅 leo sijui naandika niniKwani wamekufanya nini jamani?? maisha lazima yaendelee baba pasta achana nao ebu Tuendelee kuselfika basi
Mchumba hivi ulininyima kuona ule mguu wako wa Magwaya?Huyo Sup tayari![]()
Nawekaga usiku..Ooh inasaidia sana na kusimplify maisha
Nilivyoisikia nilishangaa tena bora uyaweke usiku hapo asubuhi yanakuwa yameiva vizuri .






mie nimefanya nn? Mniache na mnipumzishe akuuuuuh sitakiii.🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂🤣!mie nimefanya nn? Mniache na mnipumzishe akuuuuuh sitakiii.
😅😅😅 ila kwani tumetaja mtu, maana akihisi ametajwa ndio anakuwa amewashwa washwaaa.. mada ilikuwa usaliti na kupindua meza kwenye real life ipo kila maeneo kitaa na hata hapa JF haya mambo kibaoUnajua kumsema sema au kumtajataja mtu Wakati yeye hana muda nawewe ni dalili kuwa yeye ni threat kwako!! Tuendelee kuselfika mazee
Unajua kumsema sema au kumtajataja mtu Wakati yeye hana muda nawewe ni dalili kuwa yeye ni threat kwako!! Tuendelee kuselfika mazee









hii mada itafika pabaya wallah.Ah sawa hii ni nzuri zaidiNawekaga usiku..
Asububi nabadili maji ..baadaye sasa ndio nachemsha.
Nitakutag bdae nikiwa gym😉Mchumba hivi ulininyima kuona ule mguu wako wa Magwaya?